PICHA: Bungeni Nassari na William Malecela... Sasa Malecela atapata kura ya Nassari?

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
534984_3760168641992_1209820481_33740687_751021859_n.jpg



Inavyoonekana Mh. Nassari atatoa kura yake kwa William Malecela kwa Ubunge wa East Africa

Malecela kafika Nyumbani kaanza kujitangaza Vizuri
 
Kama watakuwepo wagombea watakaosimamishwa na CHADEMA, wanachadema wote tutawapa kura watu wetu.
 
534984_3760168641992_1209820481_33740687_751021859_n.jpg



Inavyoonekana Mh. Nassari atatoa kura yake kwa William Malecela kwa Ubunge wa East Africa

Malecela kafika Nyumbani kaanza kujitangaza Vizuri

Le Mutuz keshaanza kurithi suti za Mzee Cigwiyemisi........baharaia na kaunda suti wapi na wapi?
 
Mzee wa Sauti ya Umeme anajua mtaji wa kura uko wapi...........!! CCM watagawana kura then CDM watadecide!!!
 
Mkuu tutoe tongo tongo kanuni zinasemaje kuhusu uchaguzi huu

wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)
 
wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)

Mkuu ni kweli ila Mzee Masha siyo wa UDP kweli?

Kanuni ni mbovu kweli kweli. Hapa kuna hatari kubwa kwa CDM kukosa mwakilishi kwenye Bunge la Afrika Mashariki. Pia haiingii akilini kuwa wapinzani wawe na mbunge mmoja tu.
 
wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)

Marando nae alipitishwa na CCM kuwakilisha upinzani!
 
wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)

hapa nanusa mchezo wa kuzungukana, cdm inaweza kukubaliana na kundi moja kuungana mkono.. cdm wakampa huyo mgombea wa ccsm kura lakini wabunge wa upande wa pili wakaazimia ndani vikao vyao vya chimwaga kukipa chama gani. Mwisho wa siku cdm kitabaki mdomo wazi, na ni ukweli mtupu mgombea wa csm hawezi kushinda bila kura za cdm
 
Back
Top Bottom