PICHA: Bungeni Nassari na William Malecela... Sasa Malecela atapata kura ya Nassari?

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu
Unachotakiwa kuelezea ni kanuni si wewe kugombea, kwanza nani hata angekufikiria wewe ndani ya CDM? labda kupitia JF.
 
wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)

Mkuu hebu nipe orodha ya wagombea toka upinzani kama unayo!
 
Mkuu ni kweli ila Mzee Masha siyo wa UDP kweli?

Kanuni ni mbovu kweli kweli. Hapa kuna hatari kubwa kwa CDM kukosa mwakilishi kwenye Bunge la Afrika Mashariki. Pia haiingii akilini kuwa wapinzani wawe na mbunge mmoja tu.

Asante mkuu.

Kanuni hizi ni mbovu sanazinatoa mwanya kwa vyama kama CCM kuifanyia hila CHADEMA,au NRM kuifanyia hila FDC, au ODM na PNU kenya kufanyiaana hila.Huko Burundi CNDD-FDD hawako nyuma. Rwanda RPF kama kawaida kitakuwa chama cha mwisho kuruhusu mgombea kutoka chama hasimu kisiasa kupenya

Kanuni hizi zinatoa mwanya kwa vyama vyenye wingi bungeni ku-monopolise uchaguzi kwa maslahi yao at the expense of national interest

Hoja hapa ni nadra sana kuangaliwa
 
wagombea kupitia CCM watapigiwa kura na bunge zima (yaani wapiga kura ni wabunge wa CCM + upinzani)

Halikadhalika wagombea kutoka kambi ya Upinzani yaani CHADEMA,CUF,NCCR,TLP,UDP nk watapigiwa kura na bunge zima (wapiga kura ni wabunge wa CCM+ wabunge kutoka upinzani)

Ina maana nafasi 8 za CCM bunge zima litapiga kura kuwachagua na pia nafasi 1 ya upinzani itapigiwa kura na bunge zima

Ofcourse kilichonifanya nisigombee nafasi hii ni kwamba kanuni ni mbovu haziongozi uchaguzi ambao ni objective.Jumuiya ya Afrika mashariki iko katika mchakato wa kurekebisha kanuni hizi ,Unfortunately,mchakato haujakamalika kabla ya uchaguzi huu

Kwa kanuni hizi utaona wabunge wa CCM hawatapiga kura kwa kuangalia uwezo wa mgombea kutoka upinzani bali wanapiga kura kukomoa chama fulani kwa mfano CHADEMA

Willy Malecela,waambie wabunge kutoka CCM safari hii wawe objective.Historia ya uchaguzi wa EALA mwaka 2006 haiwaweki ccm katika upande bora katika vipaumbele vya taifa na maslahi yetu huko EALA.N

Walimchagua Fortunatus Masha wa TLP ili kuiadhibu chadema ilikuw na mgombea bora (kama kawaida).Mgombea wetu alikuwa Prof.Baregu ambaye mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya Urais leo amemuapisha kuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Yaani leo prof.baregu anaonekana competent kiasi cha kuaminika kwamba anaweza kusimamia issue nzito yenye maslahi ya kitaifa.lakini mwaka 2006 alikuwa haaminiki,alikuwa below mgombea wa TLP.Angalia unafiki huu wa CCM.Siwachani/sipigi vijembe...huu ndiyo ukweli(calling a spade by it's name)

- Mpiganaji Ben, sawa sawa nimekusikia sana tupo pamoja mkuu wangu!

William @Dodoma City.
 
534984_3760168641992_1209820481_33740687_751021859_n.jpg



Inavyoonekana Mh. Nassari atatoa kura yake kwa William Malecela kwa Ubunge wa East Africa

Malecela kafika Nyumbani kaanza kujitangaza Vizuri

mi nimeipenda hiyo picha ya huyo afande anayepita nyuma kidogo ya hao waheshimiwa!!!inaonekana kachoka,sijui nini kimemchosha mwili na roho kiasi hicho!!!
 
Asante mkuu.

Kanuni hizi ni mbovu sanazinatoa mwanya kwa vyama kama CCM kuifanyia hila CHADEMA,au NRM kuifanyia hila FDC, au ODM na PNU kenya kufanyiaana hila.Huko Burundi CNDD-FDD hawako nyuma. Rwanda RPF kama kawaida kitakuwa chama cha mwisho kuruhusu mgombea kutoka chama hasimu kisiasa kupenya

Kanuni hizi zinatoa mwanya kwa vyama vyenye wingi bungeni ku-monopolise uchaguzi kwa maslahi yao at the expense of national interest

Hoja hapa ni nadra sana kuangaliwa

Ben Unachonichanganya ni kitu kimoja.
Wewe unakubali kabisa kwamba Upatikanaji wa Wabunge hawa hauna taswira ya kupata watu ambao wanapigania interests za Taifa, hata kama taratibu zitabadilishwa, sitegemei yanapokuja maswala ya mahusiano yetu na mataifa mengine tuendelee kuwa na wajumbe kutoka chama tawala na wengine kutoka upinzani.

Lakini sielewi ni kwa nini bado unaendelea kuona kwamba Kuingia kwenye hii federation kutakuwa na manufaa yoyote kwa Taifa, sikuelewi kabisa, kwamba kitu bora kitapatikana kutoka kwenye kitu dhaifu. Ndio maana kuna wakati natafuta writings zinazoelezea politcs is a dirt game. it could be possible.
 
Mhaini wa katiba ya CDM kama wewe sahau post yeyote CDM.

Thank you sir/madame.

Kesha ukiomba kabisa,anza kufunga !

JF is a free Forum, you're entitled to your opinion, I'm entitled to mine.Verbal insults and name calling.....I don't care/sitishiki .

There are more pressing issues to worry about, other than the senseless attacking of opinions that don't conform to yours.It doesn't surprise me though - you will always attack opinion that doesn't conform to your own way of thinking
 
Mhaini wa katiba ya CDM kama wewe sahau post yeyote CDM.

Nashindwa kuelewa kwa nini munamuona Ben kama muhaini kwa sababu kuna kipindi hapa alikuwa anatoa advert zake za M4C na patriotic nature kwa youth akiwaasa vijana kufanya radical change kukomboa nchi yao ,hatujakaa sawa naona chama chake wamechukua concept yake na sasa naona wameifanya political agenda mpaka wakaifungua rasmi hiyo concept pale Naura Spring na nimesoma kwenye jukwaa hili kwamba ndio kazi atafanya Lema na chopa yake

Kama mtu anatoa mawazo na chama kinakubaliana na mawazo ya aina hiyo uhaini wake unatokea wapi
 
Ben Unachonichanganya ni kitu kimoja.
Wewe unakubali kabisa kwamba Upatikanaji wa Wabunge hawa hauna taswira ya kupata watu ambao wanapigania interests za Taifa, hata kama taratibu zitabadilishwa, sitegemei yanapokuja maswala ya mahusiano yetu na mataifa mengine tuendelee kuwa na wajumbe kutoka chama tawala na wengine kutoka upinzani.

Lakini sielewi ni kwa nini bado unaendelea kuona kwamba Kuingia kwenye hii federation kutakuwa na manufaa yoyote kwa Taifa, sikuelewi kabisa, kwamba kitu bora kitapatikana kutoka kwenye kitu dhaifu. Ndio maana kuna wakati natafuta writings zinazoelezea politcs is a dirt game. it could be possible.

Labda umeamua kuchanganywa/kujichanganya....

1.Kanuni kuwa mbovu maanake zinahitaji kuwa improved.Kwa mapendekezo ya kuimarisha hizi kanuni basi kupitia Bunge ambalo ni uwakilishi wa kidemokrasia kambi ya upinzani inatakiwa ichague wabunge wake na chama tawala pia kichague wabunge wake.Haitakiwi kuwa hivi

2.Maslahi ya Taifa yatalindwa kwa muongozo sahihi wa kupata uwakilishi.Inabakia kwa vyama au kambi husika kuthibitisha kwa wananchi sasa wanao uwezo wa kusimamia maslahi ya taifa kwa kupendekeza mgombea competent

Hata hivyo mimi ningependa mgawanyo wa nafasi hizi uwe mpana zaidi kushirikisha wanaharakati,wanazuoni n.k.Pia vyama vya siasa au kanuni pia ziweke vigezo/merits za watu wanaotakiwa kuwa wabunge wa huko.

Regional Intergration ni nzuri kama tukiwa serious katika muundo na uendeshaji wake.Intergration ndiyo sauti
 
Halafu we Nasari hapo mjengoni utulie si kuzungusha mimacho na shingo left right kiduwanzi, kaa mkao wa kikamanda concentration la sivyo tunakuanzishia.
 
Ben Unachonichanganya ni kitu kimoja.
Wewe unakubali kabisa kwamba Upatikanaji wa Wabunge hawa hauna taswira ya kupata watu ambao wanapigania interests za Taifa, hata kama taratibu zitabadilishwa, sitegemei yanapokuja maswala ya mahusiano yetu na mataifa mengine tuendelee kuwa na wajumbe kutoka chama tawala na wengine kutoka upinzani.

Lakini sielewi ni kwa nini bado unaendelea kuona kwamba Kuingia kwenye hii federation kutakuwa na manufaa yoyote kwa Taifa, sikuelewi kabisa, kwamba kitu bora kitapatikana kutoka kwenye kitu dhaifu. Ndio maana kuna wakati natafuta writings zinazoelezea politcs is a dirt game. it could be possible.

- Kuingia kwenye Federation kutakwua na faida kwetu kama tu tutakwua waangalifu na makini kabla ya kujiingiza, ni lazima tuwe makini na kulinda Ardhi yetu, tuwe makini na kulinda ajira zetu ingawa tayari tumeshaingiliwa san, lakini bado tuna muda wa kutosha kujipanga.

- Ninachokataa ni politics of Fear, ambazo inaonekana humu JF tunazikumbatia sana kwenye kujadili EAC, sawa tulifanya makosa mengi sana kwenye Jumuiya ya kwanza kwa sababu tulikuwa Genuine na very polite, lakini this time around tuwe makini na tujipange, zile enzi za itikadi kwanza zimeisha, hizi ni enzi za Economic kwanza, huwezi kuwa na ecnomic nzuri kama huna wananchi walioelimika, Education na Economics zinaenda pamoja, hakuna miujiza sasa tujipange na kwenda pole pole kwa hoja ambazo ni Progressive, sio kulia lia tu bila positive arguments, ni kazi ya kila Taifa kutafuta interest zake sasa na sisi tujifunze kutafuta interest zetu in others na hasa kuzilinda zaidi!

William @Dodoma City!
 
Hee hayumo kwenye kinyang'anyiro? Nani kamuengua?
He is out by default, technicalities zimemondoa hana sifa zinazotakiwa,

1. Mtu anayejua sheria, uchumi .......hana hata chembe.
2. Experiance kwa masuala ya utawala........hana hata chembe.
3. Mwanadiplomasia.....hajui A wala Be.

Naitafuta CV yake kuna sehemu aliibandika humu inaonyesha aliwahi kufanya practical kwenye meli MV Victoria sielewi ilikuwa ya nini, sidhani kama hiyo inahitajika. Binafsi sitaki nchi yangu ikabidhiwe kwa watu kama hawa.
 
..sijayapenda mavazi ya Nassari "dogo janja."

..kwanini ameacha magwanda, na shuka la Wameru, aliyokuwa anavaa wakati wa kampeni??
 
mi nimeipenda hiyo picha ya huyo afande anayepita nyuma kidogo ya hao waheshimiwa!!!inaonekana kachoka,sijui nini kimemchosha mwili na roho kiasi hicho!!!

Mkuu umenifanya nipaliwe na beer hapo kwenye happy hours ghorofa ya nane
 
Nashindwa kuelewa kwa nini munamuona Ben kama muhaini kwa sababu kuna kipindi hapa alikuwa anatoa advert zake za M4C na patriotic nature kwa youth akiwaasa vijana kufanya radical change kukomboa nchi yao ,hatujakaa sawa naona chama chake wamechukua concept yake na sasa naona wameifanya political agenda mpaka wakaifungua rasmi hiyo concept pale Naura Spring na nimesoma kwenye jukwaa hili kwamba ndio kazi atafanya Lema na chopa yake

Kama mtu anatoa mawazo na chama kinakubaliana na mawazo ya aina hiyo uhaini wake unatokea wapi
Naona wengi hawamjui huyu Ben, kifupi hana cheo chochote ndani ya CDM ni ujanja ujanja tu wa mjini, alijaribu kugombea Uenyekiti BAVICHA akataka kuingiza u-radical wake ndani ya chama wazee wakamwondoa, kifupi hatakiwi ndani ya chama anajipendekeza tu kwa sifa za JF.

Walioenguliwa katika uchaguzi huo ni Greyson Nyakarungu, Mwampamba na Bernard Saanane

"Ndugu yangu napenda kusema kuwa chama hiki sasa kinaenda pabaya walitafuta kila njia ya kuwamaliza vijana na njia waliyoipata ni kuwatutafutia tuhuma zitakazowafanya waondoke katika kuwania nafasi hiyo...lakini tulipigana na ikashindikana," alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo.(???????) who is this?????

"Tuhuma nyingine iliyoelezwa ni wagombea hao kutaka
kupindua chama hicho kwa kuhamisha agenda za chama hicho na wengine walihofiwa kuwa ni usalama wa taifa," kilisema chanzo chetu.

Akizungumza na majira jana akiwa katika uchovu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Wilbroad Slaa, pamoja na kutotaka kuzungumzia tuhuma hizo za rushwa kwa undani akisema "mengine yanahitaji maamuzi ya juu", alisema kuwa wagombea hao watatu walioenguliwa baada ya kuthibitisha kuwa wamekwenda kinyume na katiba na kanuni za chama, kifungu cha 10, w
amekiri pia kuwa wao walijihusisha kutengeneza agenda ya BAVICHA.

"Sasa hilo ni suala kubwa agenda ya BAVICHA ni suala la mkutano na haliwezi kuwa la wao watatu lakini walibainika kujihusisha na kundi la Bw. Habib Machange ambapo ilibidi chama kiingie gharama ikiwemo wajumbe wa kamati hizo kufanya kazi tangu saa saba usiku wa juzi mpaka asubuhi jana na baadhi ya wajumbe walishindwa kurejea kwao," alisema Dkt. Slaa.
 
Back
Top Bottom