Samahani mbona wote wavaa green au kama unarangi nyingine anakupotezea?
Hivi huwa wanaandaliwa kukutana na rais ama huwa wanagongana tu accidentally?
Then what next baada ya mazungumzo na hizo picha maana lazima tu huwa wanamweleza shida zao?
Ndiye huyuhuyu aliyeenda nje kutibiwa akatuacha bila madawa?How many personalities he got?
Huzi dharau!!!!
Santa.... niwekee na ile anajiandaa kufanyiwa naniliu na daktari wa kizungu.
Hivi huwa wanaandaliwa kukutana na rais ama huwa wanagongana tu accidentally?
Then what next baada ya mazungumzo na hizo picha maana lazima tu huwa wanamweleza shida zao?
Walemavu wakiwa wazima rais anabonga nao ok kabisa. Wakiugua..................................
FaizaFoxy mama naona kapambwa mpaka na ribon kichwani walikosa kibanio cha rangi hiyo