Picha bora zaidi zinazopendwa na Wananchi katiak Utawala wake Mheshimiwa Rais.J.K.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
inasemekana hizi picha zimekuwa zinawagusa watu kuliko picha zozote za Rais Kikwete ambazo alishawahi kupiga wakati wa uongozi wake maana hizi picha zinaguza maisha na matatizao mbalimbali ya watu katika jamii yetu ya kitanzania, Ebu tazama hizo picaha kwa makini sana
8E9U1428.JPG


Rais akiongea na mlemavu huko mwanza
8E9U8596.jpg


hapa Rais Kikwete akiongea na bibi huko mkoa wa pwani

kikwete1.jpg

D92A9200.jpg

Hapa Rais akiongea na mlemavu katika ziara zake

D92A8752.jpg

Hapa Rais Kikwete akiongea na mtoto mlemavu huko tanga


8E9U3180.jpg

Hapa akiongea na mlemavu pia katika ziara zake

8e9u1092-copy.jpg

Hapa pia akiongea na mlemavu

JK+akiongea+na+mlemavu+wa+mikono+na+miguu+Bi.+Sijali+Chesko+mara+baada+ya+kuwasili+Ifakara+mkoani+Morogoro+kwa+mkutano+wa+kampeni+Ijumaa.jpg

kama kawaida yake rais akimsikiliza mlemavu

8E9U4450.JPG

Hapa pia akisalimiana na mlemavu







Saluti Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
 
Unless uweke effects za mazungumzo hayo!!! Ndio "kugusa maisha" itaeleweka!!!!
Ni vizuri though!!!
 
Santa.... niwekee na ile anajiandaa kufanyiwa naniliu na daktari wa kizungu.

Mkuu weka ile ni picha bora kuliko zote mkulu alizo piga.Inaonyesha alivyo jasiri na kale kaugonjwa so ana tuhamasisha baba yetu na sisi tusiogope!
 
Mkuu Mzizi mkavu pia usisahau na hizi picha ni muhimu sana.
 

Attachments

  • x.JPG
    x.JPG
    64.4 KB · Views: 711
  • xx.JPG
    xx.JPG
    224.9 KB · Views: 688
  • xxx.JPG
    xxx.JPG
    171 KB · Views: 696
  • xxxxxxx.jpg
    xxxxxxx.jpg
    132.9 KB · Views: 680
Last edited by a moderator:

Hivi huwa wanaandaliwa kukutana na rais ama huwa wanagongana tu accidentally?

Then what next baada ya mazungumzo na hizo picha maana lazima tu huwa wanamweleza shida zao?

 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom