SOOOOOOOOOO NICE, hongera kwa kupiga picha nzuri, nimeipenda.Hii picha ilipigwa maeneo ya Kigamboni kutoka kwenye boti la kuelekea Zanzibar.
Picha nzuri sana!...ila nadhani inaficha a major component of a city,that is it's people.Hii ilipigwa na rafiki yangu, lakini niliifanyia post processing.
Black and white
"eqlypz" imeharibu picha? Kama ni signature ya mpiga picha kuna namna ya kui present, na pia inakuwa chini, sio juu.