mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Jamani yaani nikiona hivi nakumbuka enzi hizo nilikuwa kijana mbichi ndiyo nimeanza tu "kutoa mbegu" tu. Duuu ama kweli humu JF tunakumbushana mbali sana. Natamani nirudie ujana wangu.
Mmh! imekula kwako hiyo mkuu....sasa ni zamu yetu dot com generation