Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Kwa jinsi iyo taa ya duara hapo juu... nadhani hapo ni TAZARA!!!
Kwa jinsi iyo taa ya duara hapo juu... nadhani hapo ni TAZARA!!!
View attachment 34147
Mitaa ya wapi hii, wadau mnakumbuka mlikuwa wa wapi na mnafanya nini mwaka huu wa 1985?
Pole sana Miss Judith wewe ulikuwa kadogo dogo mimi wakati huo nilikuwa na umri wa miaka 21 Young Man kumbe humu ndani tuna watoto wetu kwenye hii Jamii Forums?bila shaka mitaa ya posta mpya hiyo.
sijui picha ya mwezi gani, mwenzeni nilikuwa kadogooooooo ka kupakatwa, kama nilikuwa nimeishatinga duniani at all!! dah, nimekuwa mkubwa na mimi siku hizi eeh!
Glory to God
Mimi nilikuwa mtu wa ile cafeteria ya "shimoni" tulikokuwa tunapigania mlo na akina Mwakyembe (1982)! Hiyo picha ya kwanza kama HOMOSAPIEN alivyosema, ni mitaa ya Posta mpya.Population ya Dar ilikuwa ndogo sana wakati huo. Mie nilikuwa Mlimani, tulikuwa tukiletwa mjini na ma-bus ya chuo na kurudishwa saa 6 ili kuwahi msosi. Ukichelewa ma-bus la chuo unapanda UDA na baada ya kama dk 10 umeshafika Havard Cafeteria kuwahi 'NGUIN'. Hakukuwa na foleni ati.
hahahaa binti! kumbe kuna watoto wa miaka ya 80 humu, aisee!!
Pole sana Miss Judith wewe ulikuwa kadogo dogo mimi wakati huo nilikuwa na umri wa miaka 21 Young Man kumbe humu ndani tuna watoto wetu kwenye hii Jamii Forums?
i miss you miss Judith ..........:A S-rose: natamani uwe wangu.............................................hahaaaaa, kaka!!!
tafadhari Mzizimkavu usinivunje mbavu, pole ya nini tena badala ya hongera kwa kuwa na mimi nimekuwa mkubwa siku hizi!
yeah, unazungumzia watoto? kuna watu humu sie ni wajukuu kabisa, lolz! na tunakwenda nao sambamba kama magreat thinkers! thats why i always give thanks to my Lord!
Glory to God!
Jamani ndio yamekuwa hayo tena!!!!!!!!!i miss you miss Judith ..........:A S-rose: natamani uwe wangu.............................................
mkuu hii umefunika
Jamani ndio yamekuwa hayo tena!!!!!!!!!
View attachment 34147
Mitaa ya wapi hii, wadau mnakumbuka mlikuwa wa wapi na mnafanya nini mwaka huu wa 1985?
Halafu hapo IPS chini kulikuwa na Goethe Institute. Kweli yaliyopita si ndwele...!Mitaa ya posta mpya hiyo kabla hajajenga ile 'sheli' na UDA ya shs 5/= na jengo la IPS kwa mbali.Ilikuwa raha.
Nadhani ilikuwa raha sana,hakuna vurugu wala foleni la ajabu ajabu..Mitaa ya posta mpya hiyo kabla hajajenga ile 'sheli' na UDA ya shs 5/= na jengo la IPS kwa mbali.Ilikuwa raha.
Kilichonikumbusha mbali ni hilo UDA. Wakati huo tuko wadogo nilikuwa naadmire sana kazi ya kondakta kwa ajili ya kile kimashine chake. Mdogo wangu nyumbani naye alikuwa anaingiza vipande vya karatasi ktk tundu la funguo la kitasa cha mlango halafu mkipita anabonyeza ile handle ikiachia anatoa kikaratasi (tiketi) Ole wako usipokee, analia! Tulikuwa tunatishiwa eti usipolipa nauli unapelekwa kwenye yard ya UDA kuosha ma-UDA matano.
Halafu tulikuwa tunaenda kariakoo sokoni na UDA, tukimaliza kununua vitu shimoni tunaenda mtaa wa Tandamti pale kulikuwa na kituo. Inapangwa foleni pale kwa kila mtu kuweka mzigo wake in a line. Mkifika na nyie mnaweka kapu lenu nyuma halafu mnatafuta kivuli kusubiri UDA. Likija hakuna kugombania, mnafuata ule mstari kwa ustaarabu.
Good old days...
View attachment 34147
Mitaa ya wapi hii, wadau mnakumbuka mlikuwa wa wapi na mnafanya nini mwaka huu wa 1985?
ndugu yangu, usishangae sana, wengi humu ni kizazi cha dot com, kwa hiyo hiyo nyekundu, ni zamani sana...hata mei kidogo nilikuwapo .. nilikuwa primary1985 ndio zamani saana ? duh! ngoja sisi wenye vyeti vya kuzaliwa vilivyoandikwa Tanganyika tunyamaze tu,hivi na sisi kweli ni watanzania ? maana nchi niliyozaliwa haipo tena.
tena nyie wa wa miaka ya chini ya 80, ndo mpo wachache sana humu, ikipigwa sensa , utakuta ni less that 50%hahahaaa, kaka, hii sasa ni miaka ya 2010+ so sie wa miaka ya 80 saa hizi si watoto tena, ila si wakubwa kiviiileeee! mpaka hapa, tumeishabanana sana tu na wakubwa humu duniani, teh teh...