Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
CCM wamezidiwa sana kwenye kutafuta watu makini wa kuongoza chama;sasa wanawarudia wale wale akina Mangula ambao sera zao mbovu ndizo zimetufikisha hapa!
CCM hawana watu wapya wenye new ideas wakivushe chama hiki kwenye msukosuko huu wa ombwe la uongozi?
CCM hawana watu wapya wenye new ideas wakivushe chama hiki kwenye msukosuko huu wa ombwe la uongozi?