Muache mtu na pricing yake boss kama unaona hauimudu si utafute asiyekuwa na installation fee.Wabongo ndo maana tunafeli, sasa installation fee ya nini hapo na mtu anaenda kukulipa hela kila mwaka?
mfumo ni wa online boss..hayo malipo ya kila mwaka ni malipo ya hosting na kuhifadhi data zako za online kukuwezesha kuziona popote utakapokuwa.Wabongo ndo maana tunafeli, sasa installation fee ya nini hapo na mtu anaenda kukulipa hela kila mwaka?
Muache mtu na pricing yake boss kama unaona hauimudu si utafute asiyekuwa na installation fee.
mbona haujahoji kwanini ving'amuzi unauziwa ilihali unalipia kila mwezi
Internet fiber kuna installation free ...inayokuja kwa jina la security ila huoji
kama unafahamu hayo mambo ya jamaa na unania ya kutoa ushauri ungeelewesha tu na sio kumwambia mtu anafeli.....
tunaofanya hizi system tunajua ni kiasi gani zina challenge hasa hasa day one mteja anapoanza kuitumia
ACHA UJUAJI