furaha ya kweli katika maisha haya unapokuwa upo karibu na mungu aliekuumba!!!:yo:
furaha ya kweli katika maisha haya unapokuwa upo karibu na mungu aliekuumba!!!:yo:
,HakiAMINA ! Lakini unadhani wenye nazo wanawaza kwa Busara kama wewe? La hasha, na ndiyo maana hata maandiko ya Kitabu kitakatifu BIBLIA yanawaonya sana hawa matajiri, maana Ukiwa na Pesa mara nyingi kiburi kinainuka juu ya watu wa MUNGU na hata kwa Mungu mwenyewe kwa kuona yeye kila jambo lazma liwezekane. LAKINI MWISHO WA YOTE HAYA NI KIFO HAIJALISHI LINI, KIFO GANI NA WAKATI, KILA NAFSI HAI ITAONJA MAUTI.MUBARIKIWE WATU WA MUNGU NA DUMUNI KATIKA KUYATENDA YALIYO MUNGU.
wapi hapo
Sisterwomn, unajua KuBalance is important...Kweli dini na dunia @ life is Short