No research No right to Speak. Hiyo taarifa ni ya mwezi wa nne.
No research No right to Speak. Hiyo taarifa ni ya mwezi wa nne.
Hawa ndio wafadhili wakubwa wa chadema
Miss Tanzania afutiwa shtaka la utakatishaji fedha, kupata dhamana | Bongo5.comKwa UONGO huu huna tofauti na wale Wenyeviti wa serikali za Mitaa walioswekwa lock up.
Nimekuvulia Kofia ndugu. Kumbe unamfahamu huyo jamaa wa Kijitonyama? Nafikiri naye atakuwa kwenye hatihati.Kuna huyu pia anajiita juma. Wa sayansi. Yy bado?
Picha ya mutoto ya ng,ombePole sana mutoto ya ngombe
Ni Nani huyu jumaNimekuvulia Kofia ndugu. Kumbe unamfahamu huyo jamaa wa Kijitonyama? Nafikiri naye atakuwa kwenye hatihati.
Money laundering haina dhamana.Harry, Soshe Sinare na yule jamaa mwingine walikua na mashtaka kama haya, mwanzoni wakanyimwa dhamana ila wanasheri wetu wakaonesha wazi hawana uzoefu na kesi za mtindo huu mpaka hawa watatu wakapata dhamana (sijui sasa hivi kesi yao inaendaje).
Nahisi na huyu akiwa na mawakili wazuri dhamana itakuja tu polepole, wakati watu kama hawa ni adui wa kila raia wanahitaji adhabu kali (China huwa wananyonga).
wengine wanatania wenzao wakiwa wametiwa mkononiUsiandike vitu usivyovijua; Kitilya na Shose wamepata dhamana lini ili hali bado wanasota rumande?
5.Andrew Traders1.predeshee Ndama mutoto ya ng'ombe
2.Predeshee Papah msofe
3.Predeshee Muzamir katunzi
4.nk
Wote Hawa mataperi na wauza bwimbwi wakubwa pumbafu zao wasakwe wote..