Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 742
- 369
Roho mingi mkuu? kuna watu wanabahati aisee hii duniaWapi Papaa Musofe...mutu wa roho mingi...mutu wa chuma????
Chuma cha reli.Roho mingi mkuu? kuna watu wanabahati aisee hii dunia
du tena na chuma ya reli majina ya pesa ili watoe pesa alihali wamezipata bila jasho..mpaka leo huwa siamini kama umepata pesa kwa jasho umwage vileChuma cha reli.
Hawa ndio wafadhili wakubwa wa chadema
katunzi ni mhayaMarijani Msofe ni mpare na Muzamir Katunzi ni mtu mwingine kabisa labda kinachowafananisha ni utapeli.
Wewe ni wamikoani?