huyu atawanyoosha sana 2025 . Samia anajua namna ya kupanga safu yake.Erythrocyte njoo umuone usiyempenda
Kumbe wewe mpuuzi kweli Chadema haikumuogopa Magufuli imuogope huyo div zero mwenzako. Unaona sasa tunapokuambia wewe ni takataka tu kwa walioko madarakani na kamwe huwezi kuteuliwa.Hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.
Kiurahisi namna hio?Hapa lazima chadema wakimbie hadi vimvuli vyao maana kaja mwamba mwenyewe anayezijuwa siasa za nchi hii na mwenye kujiamini kama komandoo wa vita.
Kwann kiongozi, bado sijapata uhusiano..unaweza chambua zaidiHahahaha hakika Nape ana hara muda huuu
Anaweza kuharibu kuliko mnavyofikiri, nyakati hizi hakuna wa kumbeba kama wakati ule kwani Hata Samia haogopwi na mtuhuyu atawanyoosha sana 2025 . Samia anajua namna ya kupanga safu yake.
Msiyemtaka kaja ,ni lazima mibangi yako ikutoke kichwani mwako mwaka huu maana ni lazima upoteze mtandao.Kumbe wewe mpuuzi kweli Chadema haikumuogopa Magufuli imuogope huyo div zero mwenzako. Unaona sasa tunapokuambia wewe ni takataka tu kwa walioko madarakani na kamwe huwezi kuteuliwa.
AhahahahahahGood!
Opposition parties usingizi kwishaaa!
Mkae kwa kutulia sasaMakonda hakuwahi kufanya kazi ccm , huyu amezoea mabavu ya kutumia dola kwenye vyeo serikalini .
Machawa mshaanza kazi yenu. Hizo takwimu umepata wapi?maana mara ya mwisho wajumbe walimkata kule kigamboni.Endelea kujidanganya! Tena Makonda kwa taarifa yako ndo mtu pekee aliye na ushawishi CCM!
Atajipendekeza ili aonekane ni zaidi ya Chongola; chama ndio inasimamia serikali, hicho ni cheo kikubwa kuliko cha awali. Sasa ataeeza kwenda kokote na kuongea lolote kuliko mwanzo. Mtegemee maandamano kila kona kuunga mkono Dpw, atakaegoma antachongewa ang'olewe.Suala la mikono yake kuwa michafu haitaathiri safari yake ? US wana Data zake zote !! Kukatisha uhai wengine ?au sababu yiko chama sio Gov't?.....safari ......
Amepita uvccm kwa muda mfupi.Makonda hakuwahi kufanya kazi ccm , huyu amezoea mabavu ya kutumia dola kwenye vyeo serikalini .
Garbage in-garbage out!View attachment 2789085
Ndugu Paul Makonda ameteuliwa na CCM kuwa Katibu Mwenezi.
===
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 22 Oktoba, 2023 mjini Dodoma, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Ndg. Dokta Samia Suluhu Hassan, pamoja na masala mengine, imeridhia kwa kauli moja na kuielekeza Serikali kuendelea na hatua ya utiaji saini mikataba ya uendelezaji na uwekezaji wa bandari.
Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa kumteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, akichukua nafasi ya Ndugu Sophia Edward Mjema ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Masala ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum.
Halmashauri Kuu ya CM Taifa pia imemteua Ndugu Rabia Abdallah Hamid kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), akichukua nafasi ya Ndugu Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki.
Aidha katika kikao hicho, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imezipongeza Serikali zake zote mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, chini ya Rais Dokta Hussen Ali Mwinyi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kazi kubwa na nzuri ya kuendelea kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025.
===
Pia soma: Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!
Iyo nafasi kwa makonda' anastahili haswaKuna kila dalili za uhaba wa viongozi ndani ya CCM. Cheo hiki huwa kinastahili mtu mwenye uzoefu wa kutosha, hekima, ushawishi na mjuzi wa kuongea bila kuzua taharuki. Makonda vipaji hivyo hana, zaidi sana anauwezo wa kutawala. Lkn siyo mbaya kikubwa watulindie amani yetu na rasilimali zetu.
alikuwa mwenyekiti uvccm taifa kabla ya kuwa DCMakonda hakuwahi kufanya kazi ccm , huyu amezoea mabavu ya kutumia dola kwenye vyeo serikalini .