911
Platinum Member
- Aug 22, 2008
- 852
- 499
Kwa sehemu kubwa nakubaliana na uchambuzi wako mkuu Masanja.Ila nahisi unapoteza consistency pale unaposema kuwa "hakuna mahakama iliyosema kuwa Kagame ni guilty...".Nakumbuka siku mkuu Dsm alisema kitu kama hicho kuhusu RA na ulimshukia kwa very strong points.Sasa leo nawe unatokea kulekule.Jamani "tumeanza kumwangalia nyani usoni?".Pls tutumie kipimo kilekile.