Paul Kagame: An African role model?

sasa sisi tanzania tumvamie nani na to plunder
dhahabu za nani?

maendeleo ya rwanda yanayozungumziwa hapa
yamekuja kwa cost gani na ya aina gani? au ndio
masuala ya " the end justifies the means"?

inawezekana kagame kafanya mazuri kwa nchi
yake lakini hili la kuwa role model sidhani kama ni sawa.



Huhitaji kuiba wala ku-plunder mkuu..Dhahabu umeikalia, tena si dhahabu tuu..hata Tanzanite, Almasi name them.....unavigawa bure vinajazwa kwenye makontainer unaviona......vinaenda kupakuliwa Antwerp....habari ndiyo hiyo!
 
Kagame ni Criminal au War Criminal kama walivyo viongozi wengine wengi watumiao damu nyingi za watu kukidhi wafikiriavyo au mitazamo yao kisiasa, kiuchumi, kidini au hata kikabila. kwangu binafsi sikuzote nitamwona kama viongozi wauwaji wengine ambao weshawahi kuongoza nchi au vikundi vya watu kwa vitusho na kumwaga damu kupita kiasi.Watu wa aina hii ni wazuri pale tu fikra zenu zinapokubaliana au unapokubali kuwa mtu wa ...."...ndiyo bwana..." Ukibadilisha tu mtazamo wako au ukitofautiana nao kimtazamo ujuwe ndo utaiga dunia..nothing more nothing less. Au pia uwe wa kabila lao au dini yao, ukitofautina nao basi ujuwe utamalizwa.

Nakubali kuwa anawaiba watu ambao siye tulidhania ni watanzania wenzetu siku zote kumbe wao walikuja kuchuma nchini Tz, sasa mtu wa kabila lao yu madarakani basi wanaamua kurudi kwao, hawa hawakuwa watanzania asilani bali walikuwa wazamiaji tu, kama vile leo au kesho mtanzania halisi anavyozamia uswazi, botswana, canada, UK au USA na kuchukua pasipoti ya huko, huyu siku zote atakuwa Mtz tu! na Tz itakapochanganya yeye atarudi tu!, roho yake siku zote inatazama Tz kama promised land yake!

Hivi jamani tuwekane sawa..

Kuna muuaji mkubwa kuliko yule anayeiba millions na kupeleka Geneva na New Jersey akiacha raia wake wakifa kwa magonjwa yanayotibika? kwa kukosa huduma za maji na elimu? To me Mobutu alikuwa worse kuliko Charles Taylor! Au kwa vile hivi ni silent death ndo maana watu hatuwezi kuwaita criminals? To me, hakuna war criminals wakubwa na washenzi kama hawa..Infact ile mahakama ya The Hague..ingetusaidia kama ingeongeza makosa ya waporaji wa mali ya umma.........Africa..raia wenzetu wanakufa kwa njaa na magonjwa kuliko vita..I can assure you..lakini wanaosababisha haya siyo War criminals..kwa vile wazungu hawajasema hivyo...Duh..kazi tunayo..

Kagame chapa kazi..inua raia wako.....kama una makosa historia itakuhukumu..Hata all these great powers wa leo...hakuna hata mmoja iliyendelea bila kukanyaga vidole vya wengine...Lol
 
Massanja you are a very objective person vipi leo mzee umeshikwa pabaya nini?

Hakuna mtu anayekataa mazuri Kagame anayeifanyia Rwanda..taabu ni rekodi tu mzee ya huyu jamaa..ndo hapo panagomba!
 
Nimeichomoa hii kule kwenye "International Forum" na imewekwa na Ndg Sophist kwa mtazamo wangu nafikiri pia itakuwa vyema tukiitazama hapa:

Frank talk on Another Side of Kagame

--------------------------------------------------------------------------------

Kagame has re-made Rwanda but he is far from re-making Rwandans. He has failed to check on his "strong men's" powers and authority. Such men like James Muson, Jack Nziza, James Kabarebe, Dr. Ndahiro, Charles Kayong, and the list continues, have unlimited powers which they actually further 'delegate' to individuals who also construct their own power bases.

It is this phenomena, which because it flows along the 'natural' line of 'Tutsis', that people refer to as Tutsi dominance in Rwanda. I am afraid, it is not every Tutsi but to the extent that Kagame is merely looking on while the ordinary people suffer, then it may be perceived as the policy of his regime.

Yeah, it is interesting to look at the list of Ministers, diplomats, senior officers in the army and police, General Secretaries, Governors, MPs, Senators, Chair Persons and members of national Commissions, Mayors, Directors at every level, among other leaders in the country. There are hadly Hutus and Twas! I tend to think this uneven distribution of power among the different tribes of Rwanda might make it difficult for Rwandans to work together.

Corruption in Rwanda!!! Kagame is 'lucky' in the sense that there is no vibrant civil society in the country that can make much noise about corruption in the country. He has also managed to control the media to the extent that everything written in the news papers must be in favour of the regime. Otherwise, it is difficult to get to anything in Rwanda if you do not belong to 'the power house'. Kagame, please work on that.


1;Kagame should also accept that there are many of his army officers and many civilians (i.e. Tutsis) who killed the Hutus. Mass graves of the Hutu who were killed exist throughout the country. If these people are never tried, the Hutus will not feel a sense of Justice and so, this will remain a fundamental problem for generations to come. Kagame should be open, and create an environmnet in which a South African like Truth and Reconciliation Commission will develop and operate.

2;Kagame should involve the Hutus and Twas as equal shareholders in the administration of the State.

3;Kagme should allow his viable and robust political opponents to exist without fear or intimidation in the country; he should allow the Rwandan civil society to develop. Politics of manipulation should be played down by his regime

4;Rwandans should not resort to war. Any and all politicians in Rwanda should denounce violence and war, then work hard to make sure that the different ethnic groups are recognised and empowered.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

I am Tutsi myself. I fought the war and did a lot to stop the genocide. I agree that the 1994 genocide was planed by selfish politicians in the region as well as some politicians in Europe. If you asked me to tell you why I fell out with Kagame, my simple answer is that I thought Kagame was going to usher in fundamental change. This did not happen. I wanted him to democratize Rwanda. I wanted him to reduce the powers of the president, I wanted him to go beyond ethnic divisions, I wanted him to unite Rwandans. This he failed. First, it became a principle that any Tutsi army officer who got involved with or married a Hutu lady was either killed or the relationship was frustrated. This was done with Kagame's approval.

What is interesting is that the game Kagame is playing against the Hutu and Twa is the very game the Hutu will play against the Tutsi when they also reorganize and come to power. You wait, it wont take too long! The good thing is that it looks like Radio Katwe is here to stay and the very people who defend Kagame will be the very people complaining when their turn comes.

It is true there are no identity cards indicating who is Tutsi, Hutu or Twa. But frankly speaking, is there any sober person who has ever lived in Rwanda under Kagame that would say there is no discrimination? True, discrimination in Rwanda is now done secretly unlike before the Genocide. For example, let us mention the two camps that are the masters of appointments in Rwanda namely the James Musoni and the Dr. Ndahiro camps. Who can qualify through either of these camps for appointment if he/she is not Tutsi? No doubt there are some Hutus in "strategic" places. But let us be open, do such people like the Prime Minister, the Speaker of Parliament, the Minister of defense, etc, all of whom are Hutu, make any crucial decision? It is even clear from their facial expression that they are insecure. Some Tutsi young boys are real the controllers of these seemingly strong men. Friends ... let us be frank. Kagame regime must change or else, when the Hutu finally take power, the Tutsi should be prepared to be treated the same way.

There is a problem in Kigali under Kagame, every thing that comes up, they will immediately go to their defensive. Every body who tries to say something contrary to the "correct line" is immediately referred to as a killer!

By the way, do you know how many people we as RPA killed in Byumba and in many other places? Why isn't this also talked about openly? Do you know how many Hutu that were killed by RPA?! Do you know how many Tutsi have been killed by Kagame? Dont just blindly defend Kagame, he is a killer!! This he knows himself. He even ever asked us in some senior officers' meeting "what will happen when the world comes to know everything we did?" Do you think France and Spain are stupid? Those guys are right. The only mistake they did is that their list of wanted RPA officers is short. Also, the list does not include Tutsi civilians who killed. Otherwise Kagame is a killer!

(The writer is referring to international arrest warrants issued by a Spanish judge. See "Spanish judge issues arrest warrant for 40 Rwandan army officers and men" of 13 Feb 2008 on our front page - Editor)

The common belief that Kagame does not stomach corruption, wait a moment! All the names of people like Kalegeya and others, whom Kagame allegedly "dealt with" for corruption are simply sacrifices. It is because they disagreed with the guy ( Kagame) on the way forwards for the administration of the state. The real corrupt people who accept to do business for Kagame are never bothered! Consider James Musoni, Dr. Ndahiro, Nziza, among others. The good thing with Kagame, and as some writer referred to him as being good at creating a positive image of himself in public is that when one opposes him, he will get rid of that person under pretext of "fighting corruption". What about Kagame's wife? Do you know how corrupt she is? What about the Charles Kayongas, James, etc.. these are extremely corrupt guys.

Just pray that there is a change in Kagame's approach or let us us pray for a bloodless regime change in Kigali.

Mugisha ( Europe)
 
..Mwawado acha copy & paste kutoka kwenye hizo hutu extremist websites!
 
jokaKuu,
Naona unamlaumu Kagame kwa mauaji ya Wacongo. Nadhani hapa lawama ungezielekeza zaidi kwa Mobutu na Ufaransa. Kilichompeleka Kagame Congo ni nini? Ni wale interahamwe waliokimbilia huko na Mobutu akawaachia waanzishe himaya yao ya kijeshi kwenye eneo linalopakana na Rwanda. Mobutu huyo huyo akawasaidia kupata silaha na kuwa tishio kubwa kwa Rwanda ya Kagame. Wewe ungefanya nini kama ungekuwa katika nafasi yake?
 
iam kagame' big fan........piga ua nchi za kiafrika zinapaswa kuendeshwa na president sampuli ya kagame.......after 10yrs Rwanda will next South korea.......kagame ana recruit wabongo toka ughaibuni ukifika kigali full kuku na totozi unapewa alimradi tu uchape kazi...
 
- Role model mwenye mikono yenye damu za wananchi karibu Millioni moja? Mungu atupishilie mbali, ni rahisi kuangalia pembeni kwa sababu hawatuhusu hao waliokufa,

- Kagame's right place kwanza ni The Haque kwenye ICJ , halafu jela Segerea, sio role model, wakuu hizi forums huwa zinakuwa monitored na wageni, hasa The West sasa sometimes tuwe makini kidogo na tunayojadili hapa uwanjani.

Respect.

FMES!
 
- Role model mwenye mikono yenye damu za wananchi karibu Millioni moja? Mungu atupishilie mbali, ni rahisi kuangalia pembeni kwa sababu hawatuhusu hao waliokufa,

- Kagame's right place kwanza ni The Haque kwenye ICJ , halafu jela Segerea, sio role model, wakuu hizi forums huwa zinakuwa monitored na wageni, hasa The West sasa sometimes tuwe makini kidogo na tunayojadili hapa uwanjani.

Respect.

FMES!
Usitulazimishe tujadili uyatakayo...
 
Habari nilizopata hivi karibu ni kuwa huyu ndiye rais pekee wa Afrika anayefanya kazi ya kuendeleza nchi kwa mtazamo wa mbali sana. Nimeambiwa anafanya maajabu makubwa sana. Kwamba Rwanda hakuna ufisadi na hata rushwa ndogo ndogo za kijinga zinaelekea ukingoni. Mbali ya hayo jamaa anasisitiza uwajibikaji katika utumishi wa umma. Je, ni kweli anastahili kuwa role model ya viongozi wa Afrika??

- Mkuu kuna facts zaidi za kuthibitisha haya, au hizi ni dataz umezitoa huko?

FMES!
 
kagame is not a role model for other african leaders, africa needs a leader who is not currupt or discriminative. kagame is both.

TZ hahitaji kiongozi mahiri ila inahitaji DR. wa kuwachoma sindano wa-tz ile waamke kutoka usingizini.
Embu fikiria commercial capital wabunge wote ni CCM na hawa watu wengi wana access na habari na magazeti. dar wanatakiwa wachomwe sindano nyingi kuliko tarime
 
Nafikiri kuwa ili kuondoa non-sense zinazoendelea ktk nchi nyingi za Afrika, mtazamo wa Kagame ni sahihi kabisa. Tunahitaji maendeleo, na dikteta ambaye atatusaidia kuyapata hayo maendeleo ni bora kuliko kuendelea kukaa na 'uswahili" usiokwisha na maneno tele bila maendeleo.
Namsifu Kagame kwa kuweza kutumia strength yake ya kupanga mikakati ya kijeshi kuhakikisha Rwanda inaendelea kusonga mbele kimaendeleo tena kwa mkono wa chuma.Hataki kulea rushwa na wapinga maendeleo kwa kigezo cha demokrasia.Mbona hata Putin anafanya hivyo na Rusia imeweza kurudi taratibu pale inapotaka kuwa?
Nchi yetu hii tunapenda wapiga hadithi kuliko watekelezaji sasa tumekwama.Mambo hayaendi.Kila siku sound nyingi bila utekelezaji.
Pengine sijaifahamu vizuri Rwanda, lakini nahisi tuna utajiri mkubwa kuliko wao. Sidhani kama wana mali nyingi tulizonazo kama dhahabu, gas asilia, vito, bandari etc? Mara nyingine ili mambo yaende tunahitaji mtu kama Kagame.Demokrasia inayodhidi kutupeleka kwenye umaskini haitatusaidia mana tutaishia kupigana bila sababu.Imetuzalia ufisadi na rushwa isiyokwisha.
Lakini hata JK ni askari..tumpe muda atumie uzoefu wa kupanga mikakati ya kijeshi kutuletea maendeleo. Tatizo ni mpaka lini tutamsubiri?
Kazi kwelikweli
Kama akiendelea kuwasikiliza kina RA na EL mambo hayatabadilika.
 
iam kagame' big fan........piga ua nchi za kiafrika zinapaswa kuendeshwa na president sampuli ya kagame.......after 10yrs Rwanda will next South korea.......kagame ana recruit wabongo toka ughaibuni ukifika kigali full kuku na totozi unapewa alimradi tu uchape kazi...

Only time will tell if you are a real big fan of this killer.
 
jokaKuu,
Naona unamlaumu Kagame kwa mauaji ya Wacongo. Nadhani hapa lawama ungezielekeza zaidi kwa Mobutu na Ufaransa. Kilichompeleka Kagame Congo ni nini? Ni wale interahamwe waliokimbilia huko na Mobutu akawaachia waanzishe himaya yao ya kijeshi kwenye eneo linalopakana na Rwanda. Mobutu huyo huyo akawasaidia kupata silaha na kuwa tishio kubwa kwa Rwanda ya Kagame. Wewe ungefanya nini kama ungekuwa katika nafasi yake?

...hata Kabila kaona bora ashirikiane na kina Kagame sasa ndio maana karuhusu majeshi ya Rwanda yaingie Congo kuwatandika hao interahamwe,UN aibu kibao maana wanakula zaidi ya billion dollar kila mwaka Congo,wenye akili wanaona na wenye propaganda zenu muendelee lakini kina Kagame wapo pale kusolve matatizo yao na hata waalipokufa during genocide hamkuwepo...hao Congo bila kina Kagame leo bado wangekuwa chini ya ya dikteta Mobutu!
 
iam kagame' big fan........piga ua nchi za kiafrika zinapaswa kuendeshwa na president sampuli ya kagame.......after 10yrs Rwanda will next South korea.......kagame ana recruit wabongo toka ughaibuni ukifika kigali full kuku na totozi unapewa alimradi tu uchape kazi...

That'll be Africa's economic miracle of moving from living for a less than a dollar per day to less than two dollar per day, right?
 
Inategemea kwa wakati huo uko wapi.Wakati kundi linaweza kuonekana ni terrorists na upande mmoja, kundi hilohilo ukiwa upande wa pili linaonekana ni wapigania haki/uhuru.
Likewise bila kuangalia mengine, Kagame anaweza kuonekana role model kwa jinsi anavyoisukuma nchi yake ielekee kwenye maendeleo.

...Yes only that way.........na ninakubali wakti mwingine tunahitaji watu kama Kagame kufanikisha malengo fulani ya maendeleo....lakini mtu huyo asiwe muuaji kama alivyo Kagame
 
...Yes only that way.........na ninakubali wakti mwingine tunahitaji watu kama Kagame kufanikisha malengo fulani ya maendeleo....lakini mtu huyo asiwe muuaji kama alivyo Kagame


Bila kuua watu wengine hutaka kuendelea na ufisadi....angalia china ilikuwa ukikutikana na makosa ya ufisadi unanyongwa! Tuna mhitaji mtu wa kuielekeza nchi hii mahala pazuri kwa viboko... Lakini kagame namlaumu kwa kumuua Rais Habyarimana, anasitahili ashitakiwe.
 
Massanja you are a very objective person vipi leo mzee umeshikwa pabaya nini?

Hakuna mtu anayekataa mazuri Kagame anayeifanyia Rwanda..taabu ni rekodi tu mzee ya huyu jamaa..ndo hapo panagomba!

Hapana mkuu,

Mimi niko objective. Napenda kuwahukumu watu kwa matendo yao na si kwa hisia. Hakuna mahakama ambayo imeshasema Kagame ni guilty wa Genocide. Anyway Tuliache hilo.

Ukweli ni kwamba Africa tumeshajaribu kila aina ya demokrasia lakini tumeshindwa..vyama vingi, chama kimoja, mapinduzi ya kijeshi, people`s power (Madagascar..Ravolomanana alivyomuondoa Ratsiraka na leo yeye kuondolewa na DJ) nk..lakini hakuna demokrasia ambayo imetusaidia.

Sasa mkuu..kipi tufanye?? Kagame might be evil..lakini ukweli ni kwamba I can assure you, isingekuwa politics za Ufaransa..Kagame ndo angekuwa darling wa west!

Otherwise, my plea to fellow wananchi...ukimtizama bata au Nguruwe anavyoishi hutamla...dunia ya leo hakuna Ujomba wala Ushangazi. Period.

Leo nilisoma statistics za UPU..Rwanda inaongoza kuwa na wabunge wanawake duniani..sasa jamani si ndo sehemu ya demokrasia hiyo? au Mpaka Human Rights Watch na Freedom House..waseme ndiyo..ndo tukubali kwamba kuna Human Rights Rwanda?

Jamani...western partners si wenzetu...inabidi tuyachambue wanayotwambia kwa makini..leo wanakwambia serikali kumiliki uchumi kama mabenki na makampuni mengineyo..ni kosa..hata wasomi wetu wameandika vitabu na vitabu...loh..behold...leo wanafanya nini? na sisi tutafanya nini sasa? Its so sad that Africa has outsourced its capacity to THINK!
 
Back
Top Bottom