Pasiansi wildlife management

EJay

JF-Expert Member
May 21, 2012
693
172
wadau naomba kujua sifa na vigezo vya kujiunga na chuo hicho.
 
Sifa zake ni kuwa na elimu ya Form four lakini pia uwe umafaulu angalau kwa alama ya D katika masomo ya Biologia na Kemia. Pia lazima uwe physically fiti maana unasoma masomo ya kupambana na majangili maporini kwenye hifadhi za taifa.Kimesajiliwa na ni cha serikali
 
Sifa zake ni kuwa na elimu ya Form four lakini pia uwe umafaulu angalau kwa alama ya D katika masomo ya Biologia na Kemia. Pia lazima uwe physically fiti maana unasoma masomo ya kupambana na majangili maporini kwenye hifadhi za taifa.Kimesajiliwa na ni cha serikali

asante mkuu.kuna mdogo wangu naona anakidhi vigezo ngoja nijaribu.
 
Back
Top Bottom