Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
hapo red&bold.
inaruhusiwa kuweka jamvini?
Sijajua.nitafuatilia kujua inaruhusiwa ama la.Asante kwa kunikumbusha.
hapo red&bold.
inaruhusiwa kuweka jamvini?
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Naomba uiondoe thread yako.Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge.Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema.Kuongeza ni suala la kawaida sana.Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali.Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako.Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:Hivi ukiwa mbunge wa viti maalum it means you constituency is Jambo Forum eeh? Mnakula posho ndeefu, with absolutely nothing to do mle ndani. I actually think viti maalumu is an insult to all the feminists out there.
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge.Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema.Kuongeza ni suala la kawaida sana.Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali.Hansard ikitoka
nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako.Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Mama hongera sana kwa kufuatilia JF. Mimi nakushauri uwe mvumilivu kwa sababu ni vema ukapata mtazamo mbadala halafu ukaona maoni yanavyotiririka.
Kumuomba/kumtaka aombe radhi ni sawa kwa chadema lakini nashauri apewe nafasi yeye mwenyewe aone umuhimu wa kuomba radhi. Utawaambia wangapi waombe radhI? Kumbuka uko kwenye mapambano ambamo kuna kila aina ya michezo michafu. Sifa mojawapo ya mpiganaji mzuri ni kuhimili vishindo. Huyu anaweza kuwa ni wakala tu kumsahihisha mwaga ukweli uliosemwa period; hata ukitafuta clip utapata itundike itamsuta.
Samahani mimi binafsi sipendi mapambano ya kipuuzi lakini napenda sana malumbano hasa mahali kama hapa jamvini ambapo mawazo mbadala yanachemka na kutolewa.
Hivi ukiwa mbunge wa viti maalum it means you constituency is Jambo Forum eeh? Mnakula posho ndeefu, with absolutely nothing to do mle ndani. I actually think viti maalumu is an insult to all the feminists out there.
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge.Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema.Kuongeza ni suala la kawaida sana.Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali.Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako.Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge.Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema.Kuongeza ni suala la kawaida sana.Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali.Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako.Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Asante sana Mkuu kwa consern yako.nimekuelewa vizuri.Pamoja na mabandiko mengi yalianzishwa humu kuhusu CHADEMA umewahi kuniona popte nikisema waanzisha thread wafute kauli zao?hili ni zito na mtu aliyeanzisha ni mtu wa kuaminika hivyo napopotosha na lazima tuweke mambo sawa.Nimemshauri aombe radhi na sijamlazimisha lakini ana uhuru wa kukubali ama kukutaa.Ningeweza kabisa kuPM au kumpigia simu au kukutana naye ana kwa ana na kumwambia au hata kutumia ile thread yake kumshauri.Lakini kwa kuwa kuna baadhi ya watu huwa hawasomi post kwa post na wengine huwa wanasoma vichwa vya habari tu hivyo nimeona ni bora nianzishe thread mpya ili watu wapate fursa ya kutafuta ukweli popote pale sio lazima iwe JF. Hata asipoomba radhi lakini watakaosoma thread zote mbili wataamua kutafuta ukweli ama kwa kufuatilia marudio ya Bunge au Hansard.