Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.
Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema. Kuongeza ni suala la kawaida sana. Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali. Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako. Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.
Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema. Kuongeza ni suala la kawaida sana. Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali. Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako. Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.