Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Atawakuna wengi sana wenye kugeuza njano nyekundu mimi nimemsikia kwa masikio yangu mbowe akimpongeza Rais, Waziri mkuu na mawaziri kwa kuchaguliwa kwao! masikio yangu yanakataa kusikia maneno ambayo ni mengine tofauti na haya yaliyosemwa hapa YouTube - Mh. Freeman Mbowe ajadili hotuba ya Rais (Michuzi Blog)
Shosiiiiiii,
Mkuu umekomaa kweli kweli. Pasco kaamua kuomba radhi kama alivyoombwa.
Pasco anasema atafungua sredi mpya ya kuomba masmaha ili aelezee uelewa wake katika suala hili.
Mwanzoni ulikuwa unasema mbowe kamtambua rais kwa tafsiri ya pasco na regia mtema, sasa wewe unatumia tafsiri na uelewa wa pasco na regia ama unatumia bongo yako mwenyewe kutafsiri na kuamua mambo? kwamba watu wote wanaopingana na pasco na ambao walishuhudia "live" tbc mbowe akizungumza hawaoni wala hawasikii kwa kuwa ni "pro cdm" isipokuwa baadhi ya "anti cdm" mkijiita mko huru ndo mna masikio na macho ya kusikia na kuona vizuri zaidi ya wengine!!??
Sasa umeibuka na jipya tena, eti mbowe kampongeza rais kwa kuchaguliwa, wapi hapo kampongeza rais kwa kuchaguliwa? mbowe kampongeza kwa kuwa msikivu na kuchukua ilani ya cdm hasa suala la katiba mpya na akamtaka aendelee kuchukua na mengine kwa manufaa ya nchi sasa wewe ndugu yangu mbona unapindisha mambo tena?
Unanikumbusha enzi zileee za mzee muhidin ahmad ndolanga mkuu, dah hii sasa kali!!