Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Tofauti ya kimaendeleo kati yetu Sisi v/s China, Singapore au Malaysia za miaka hiyo ya sitini.
Na tofauti yetu kwa miaka hii ya sasa ikoje?
Miaka hiyo tulikua wote sawa au tuliachana kidogo tu, sasa ikoje?
Wao walikua na nini kutuzidi?
Ukijiuliza hili swali ndio utathubutu kusema tanaendelea?? Au lah!!!!
ni kweli tunahitaji kua na shule ambazo wanafunzi wanakosa madawati na kukaa chini katika karne hii??
Shark umesema vizuri lakini akili za watu kama Paschal siyo rahisi kukuelewa.