PAPA: Sijaruhusu ndoa za jinsia moja ila kubariki vitu vyao kama magari, Nyumba, Mashamba ni ruksa Misingi hii ya Kanisa Katoliki iliwekwa na Mungu

Mashoga hawatakiwi kujitambulisha hivyo kanisani na wala kanisa halitakiwi kuwa single out mashoga na kuanza kuwawekea taratibu zao, ni sawasawa na watu wanaotenda dhambi nyingine kama wizi, ujambazi, uzinzi waanze kutafuta kutambulika kanisani kama wezi, majambazi, wazinzi nk. halafu kanisa lijishughulishe kuwawekea taratibu zao maalum.

Kimsingi watu wote haijalishi wametenda dhambi gani au maouvu gani wanatakiwa kujitambulisha kanisani kama waumini na ikiwa watataka kujitambulisha kama wanandoa ni kwa wale tu ambao wamefunga ndoa inayotambulika kanisani, yaani mke na mume, sijui kama nimeeleweka.​
Anaye eleweka n papa sio wee, wee anakujua nan zaidi ya familia yako?
Tutolee uchuro wako hapa.
 
Kauli za Papa huyu tangu mwanzo ni za Kishetani. Tutafute nini tena. Yaani mwanaume afirwe then ujira uliotokana na ufiraji na ufiraji kuwa halali Kanisani.
Ila wa majambazi, wezi, makahaba? Nao je?
 
Acha kujisumbua na kuteta ujinga , kubariki ndoa za jinsia na kubariki wazinifu vyote katunga yeye hakuna kweny ukristo.

Kubariki ndoa ya wazinifu watu washazaa wengine wana mimba ndio wanafungishwa ndoa ,sawa tu na kubariki mashogo vyote havipo kweny dini
Ongezaa sautiiiiiii
 
Kwa hiyo ni kama saloon ya shoga anakunyoa na kukufanyia massage ni Baraka au sio hivyo
Yaani kuuza vifaa vyao rukhsa
Dunia hii ina mambo
Ila wameamua hata uk wanataka watoto shule zote wawe na vyoo aina 3 yaani wavulana, wasichana na mashoga
Na bongo ije hii ya vyoo vya gays.
 
SIO KWELI,na uache kupotosha watu,hyo dhambi ya ushoga ndo dhambi iliyopewa adhabu kali sana kipindi cha nabii luti.haya niambie mtu gani alimdanganya demu akachomwa moto?
Wee ni liongo sana, na huu ushoga wa sasa umekujajee?
 
Kwa kusoma comments hizi, nimejiridhisha bado Kuna wajinga wengi sana duniani, "low Iqs" wa kushanto.... Kuna watu ni mashiga lkn wanamiliki school bus inayobeba WANAFUNZI, ikibarikiwa Kuna shida Gani?
🤣🤣🤣🤣😂😂

Nacheka sana
 
Back
Top Bottom