PAPA: Sijaruhusu ndoa za jinsia moja ila kubariki vitu vyao kama magari, Nyumba, Mashamba ni ruksa Misingi hii ya Kanisa Katoliki iliwekwa na Mungu

kubariki vitu vyao si ndio kubariki kazi za mikono yao?, kama hivyo vitu vimetokana na kugongwa maana yake pia siunakuwa umebariki hiyo kazi ni ruksa?..

Unabariki mali ya jambazi, mwizi, muuza madawa tafsiri yake ni nini?
Papa amemkaribisha ibilisi kiimani.
Mungu aliangamiza Sodoma na Gomorrah kwacheche za moto.


Mwa 19:1-25 SUV

Basi, wale malaika wawili wakaja Sodoma jioni; na Lutu alikuwa amekaa mlangoni pa Sodoma. Lutu akawaona akaondoka akaenda kuwalaki, akainama kifudifudi. Akasema, Bwana zangu, karibuni nawasihi mwingie nyumbani mwa mtumwa wenu, mkalale, mkanawe miguu yenu, hata asubuhi mwondoke na mapema mkaende zenu. Wakasema, Sivyo, lakini tutakaa uwanjani usiku kucha. Akawasihi sana, nao wakaja, wakaingia nyumbani mwake. Akawafanyia karamu, akawapikia mikate isiyochachwa nao wakala. Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa wazee, watu wote waliotoka pande zote. Wakamwita Lutu, wakamwambia, Wa wapi wale watu waliokuja kwako usiku huu? Uwatoe kwetu, tupate kuwajua. Lutu akawatokea mlangoni, akafunga mlango nyuma yake. Akasema, Basi, nawasihi, ndugu zangu, msitende vibaya hivi. Tazama, ninao binti wawili ambao hawajajua mtu mume, nawasihi nitawatolea kwenu mkawafanyie vilivyo vyema machoni penu, ila watu hawa msiwatende neno, kwa kuwa wamekuja chini ya dari yangu. Wakasema Ondoka hapa! Kisha wakanena, Mtu huyu mmoja amekuja kwetu kuketi hali ya ugeni; naye kumbe, anataka kuhukumu! Basi tutakutenda wewe vibaya kuliko hawa. Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, wakakaribia wauvunje mlango. Lakini wale watu wakanyosha mikono yao, wakamwingiza Lutu kwao nyumbani, wakaufunga mlango. Kisha wakawapiga hao watu walioko mlangoni kwa upofu, wadogo kwa wakubwa, hata wakachoka kwa kuutafuta mlango. Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je! Unaye mtu hapa zaidi? Mkwe, wanao, na binti zako, na wo wote ulio nao katika mji, uwatoe katika mahali hapa; maana tutapaharibu sisi mahali hapa, kwa kuwa kilio chake kimezidi mbele za BWANA; naye BWANA ametupeleka tupaharibu. Lutu akatoka akasema na wakweze, waliowaposa binti zake, akasema, Ondokeni mtoke katika mahali hapa kwa sababu BWANA atauharibu mji huu. Lakini akawa kama achezaye machoni pa wakweze. Hata alfajiri ndipo malaika wakamhimiza Lutu, wakisema, Ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili waliopo hapa, usipotee katika maovu ya mji huu. Akakawia-kawia; nao wale watu wakamshika mkono, na mkono wa mkewe, na mkono wa binti zake wawili, kwa jinsi BWANA alivyomhurumia, wakamtoa wakamweka nje ya mji. Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde po pote; ujiponye mlimani, usije ukapotea. Lutu akawaambia, Sivyo, bwana wangu! Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa. Basi mji huu u karibu, niukimbilie, nao ni mdogo, nijiponye sasa huko, sio mdogo huu? Na nafsi yangu itaishi. Akamwambia, Tazama, nimekukubali hata kwa neno hili, kwamba sitauangamiza mji huo uliounena. Hima, ujiponye huko, maana siwezi kufanya neno lo lote, hata uingiapo humo. Kwa hiyo jina la mji ule likaitwa Soari. Jua lilikuwa limechomoza juu ya nchi Lutu alipoingia Soari. Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na juu ya Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA. Akaangusha miji hiyo na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.


Sasa Papa ana dilly dally!
 
Wewe akili hauna, hauoni kama kanisa litakubali kubariki vitu vya shoga watu watauona ushoga ni kitu cha kawaida? Hauoni kwamba kwa kanisa kukubari kubariki vitu vya mashoga kwa kiasi kikubwa itaongeza ushoga?.
Watanzania vichwa maji kweli ,wizara yenu ya afya imeshalibaliki jambo hilo kitambosana kwa mikataba

Kama serikali kupitia wizara imekubaliana jambo hilo kuwepo nchini ,kanisa wao ndokazi zao kupitia maseja wao

Ushauri ,kwako lea familia yako vizuri au ujiunge na late kingunge kutokuwa na dini
 
ACHA KUZUGA SHEKH, PAPA HAJATAJA SADAKA KASEMA NDOA ZA MASHOGA ZIBARIKIWE FULL STOP?

MBONA NYIE MASHOGA MNAPENDA KUVALAGIZA MANENO AU HUKO NYUMA KUMESHA CHAKAA MBWA NYIE??
Kwa kuwa wewe huko nyuma ume"tinduka" ndio unajua kila mtu Yuko kama wewe. Endelea kutinduliwa wewe kocho.
 
View attachment 2847833
View attachment 2847851View attachment 2847852View attachment 2847859View attachment 2847861View attachment 2847866View attachment 2847867View attachment 2847902View attachment 2847903View attachment 2847906
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,

Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa nukta neno kwa neno mstari kwa mstari sijaona sehemu Ushoga na Usagaji vimeruhusiwa na kiongozi huyu wa juu kabisa wa Kanisa.

Katika waraka huu zaidi sana nimeona nafuu waliyopewa hawa mashoga wamepata neema kwa vitu vyao kubarikiwa mfano wa vitu hivyo ni kama kiwanja, Nyumba, gari au vinginevyo ila si ndoa Takatifu,

Tunakubaliana wote kuwa Gari la shoga haliwezi kuwa ni gari shoga au shule ya Shoga haiwezi kuwa ni shule shoga ila mmiliki,

Ushoga ni baina ya mtu na mtu mfano mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke na si kitu na kitu.

Kwakuwa tunaishi kwenye nyakati za mwisho watu wanatamani Kanisa liidhinishe dhambi zao mbele za Mungu.

Lazima tufahamu kuwa, Hata kama Kanisa au misikiti itaruhusu Ushoga dhambi hii bado iko palepale, na ni motoni moja kwa Moja bila mjadala.


Mungu lilinde na kuliinua Kanisa Katoliki Duniani, kote
2adec1f1-437e-47e2-bf7d-f184347e82d6.jpg

Huyu Papa ameshindwa na mdogo wangu huyu aliyekuwa enzi zake Mkuu wa Mkoa wa Dares-Salaam. Alikuwa mstari wa mbele kupinga Ushoga. Yeye Papa ana halalisha Ushoga duniani? Ahhh Papa Ametapika Matapishi yake sasa anayakataa matapishi yake. Ama kweli huyu Papa atakuwa ni FreeMason.
 
WAPI UMESKIA UISLAM AU KIONGOZI WA UISLAM KATOA RUKSA WATU WAFUMUE MITARO??

TEH TEH TEH,SAFARI HII MNATAPA TAPA LAKINI HAMNA PA KUTOKEA,KANISA KATOLIKI LA KWA MPALANGEE...!!

TEH TEH TEH,FULL KUPAKUANA
Hizi tuhuma za kua mtume alinyonyana ndimi na mwanaume mwenzake ni za kweli?
 
View attachment 2847833
View attachment 2847851View attachment 2847852View attachment 2847859View attachment 2847861View attachment 2847866View attachment 2847867View attachment 2847902View attachment 2847903View attachment 2847906
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,

Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa nukta neno kwa neno mstari kwa mstari sijaona sehemu Ushoga na Usagaji vimeruhusiwa na kiongozi huyu wa juu kabisa wa Kanisa.

Katika waraka huu zaidi sana nimeona nafuu waliyopewa hawa mashoga wamepata neema kwa vitu vyao kubarikiwa mfano wa vitu hivyo ni kama kiwanja, Nyumba, gari au vinginevyo ila si ndoa Takatifu,

Tunakubaliana wote kuwa Gari la shoga haliwezi kuwa ni gari shoga au shule ya Shoga haiwezi kuwa ni shule shoga ila mmiliki,

Ushoga ni baina ya mtu na mtu mfano mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke na si kitu na kitu.

Kwakuwa tunaishi kwenye nyakati za mwisho watu wanatamani Kanisa liidhinishe dhambi zao mbele za Mungu.

Lazima tufahamu kuwa, Hata kama Kanisa au misikiti itaruhusu Ushoga dhambi hii bado iko palepale, na ni motoni moja kwa Moja bila mjadala.


Mungu lilinde na kuliinua Kanisa Katoliki Duniani, kote
Mimi sijaona hayo uliyoandika isipokuwa nimeona kwamba watu walio kwenye ndoa ambazo hazijafuata utaratibu wa kanisa (irregular marriage) au same-sex (watu wa jinsia) moja ambao wametambua kwamba wanamhitaji Mungu na wanaona kuja haja ya kubadilisha mfumo wao wa maisha hawa wanaweza kubarikiwa kwa sababu hicho wanachokitamani kitokee katima maisha yao ndipo pia Mungu anachotaka. Ndio ujumbe nilioupata kuanzia Na 31-41 ya huo waraka.
 
Hizi tuhuma za kua mtume alinyonyana ndimi na mwanaume mwenzake ni za kweli?

Hata mtume GWAJIMA TUH AU MTUME MWAMPOSA HAWEZI KUFANYA HIVYO,SEMBUSE MTUME MTUKUFU WA DARJA MUHAMMAD??REHMA NA AMANI ZA MUNGU ZIJWE JUU YAKE...JUST USE YOUR COMMON SENSE BASI...
 
Umerogwa vibaya sana ati "baba mtakatifu" mtu kama huyo anayewalegezea mashoga hapaswi kuheshimiwa kabisa. Baba mtakatifu ni mmoja tu, ambaye ni Mungu muumbaji wetu sote.
 
View attachment 2847833
View attachment 2847851View attachment 2847852View attachment 2847859View attachment 2847861View attachment 2847866View attachment 2847867View attachment 2847902View attachment 2847903View attachment 2847906
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,

Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa nukta neno kwa neno mstari kwa mstari sijaona sehemu Ushoga na Usagaji vimeruhusiwa na kiongozi huyu wa juu kabisa wa Kanisa.

Katika waraka huu zaidi sana nimeona nafuu waliyopewa hawa mashoga wamepata neema kwa vitu vyao kubarikiwa mfano wa vitu hivyo ni kama kiwanja, Nyumba, gari au vinginevyo ila si ndoa Takatifu,

Tunakubaliana wote kuwa Gari la shoga haliwezi kuwa ni gari shoga au shule ya Shoga haiwezi kuwa ni shule shoga ila mmiliki,

Ushoga ni baina ya mtu na mtu mfano mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke na si kitu na kitu.

Kwakuwa tunaishi kwenye nyakati za mwisho watu wanatamani Kanisa liidhinishe dhambi zao mbele za Mungu.

Lazima tufahamu kuwa, Hata kama Kanisa au misikiti itaruhusu Ushoga dhambi hii bado iko palepale, na ni motoni moja kwa Moja bila mjadala.


Mungu lilinde na kuliinua Kanisa Katoliki Duniani, kote
Kwahiyo shoga na mumewe Papa anawaita kanisani na kuzibariki Mali zao Yani nyumba zao na Magali Yao?

Sasa kama hatambui ndoa Yao angewaita?
 
Basi asiseme vibarikiwe vitu vya mashoga tu,

bali aseme wadhambi wote,vitu vyao vibarikiwe.
 
View attachment 2847833
View attachment 2847851View attachment 2847852View attachment 2847859View attachment 2847861View attachment 2847866View attachment 2847867View attachment 2847902View attachment 2847903View attachment 2847906
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,

Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa nukta neno kwa neno mstari kwa mstari sijaona sehemu Ushoga na Usagaji vimeruhusiwa na kiongozi huyu wa juu kabisa wa Kanisa.

Katika waraka huu zaidi sana nimeona nafuu waliyopewa hawa mashoga wamepata neema kwa vitu vyao kubarikiwa mfano wa vitu hivyo ni kama kiwanja, Nyumba, gari au vinginevyo ila si ndoa Takatifu,

Tunakubaliana wote kuwa Gari la shoga haliwezi kuwa ni gari shoga au shule ya Shoga haiwezi kuwa ni shule shoga ila mmiliki,

Ushoga ni baina ya mtu na mtu mfano mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke na si kitu na kitu.

Kwakuwa tunaishi kwenye nyakati za mwisho watu wanatamani Kanisa liidhinishe dhambi zao mbele za Mungu.

Lazima tufahamu kuwa, Hata kama Kanisa au misikiti itaruhusu Ushoga dhambi hii bado iko palepale, na ni motoni moja kwa Moja bila mjadala.


Mungu lilinde na kuliinua Kanisa Katoliki Duniani, kote
Kwaiyo mwizi habarikiwi kanisani magari yake na mashamba yake katoliki inabariki, it's all about maokoto and not about God or heaven again?
 
View attachment 2847833
View attachment 2847851View attachment 2847852View attachment 2847859View attachment 2847861View attachment 2847866View attachment 2847867View attachment 2847902View attachment 2847903View attachment 2847906
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,

Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa nukta neno kwa neno mstari kwa mstari sijaona sehemu Ushoga na Usagaji vimeruhusiwa na kiongozi huyu wa juu kabisa wa Kanisa.

Katika waraka huu zaidi sana nimeona nafuu waliyopewa hawa mashoga wamepata neema kwa vitu vyao kubarikiwa mfano wa vitu hivyo ni kama kiwanja, Nyumba, gari au vinginevyo ila si ndoa Takatifu,

Tunakubaliana wote kuwa Gari la shoga haliwezi kuwa ni gari shoga au shule ya Shoga haiwezi kuwa ni shule shoga ila mmiliki,

Ushoga ni baina ya mtu na mtu mfano mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke na si kitu na kitu.

Kwakuwa tunaishi kwenye nyakati za mwisho watu wanatamani Kanisa liidhinishe dhambi zao mbele za Mungu.

Lazima tufahamu kuwa, Hata kama Kanisa au misikiti itaruhusu Ushoga dhambi hii bado iko palepale, na ni motoni moja kwa Moja bila mjadala.


Mungu lilinde na kuliinua Kanisa Katoliki Duniani, kote
Mkuu, hapo umetulisha matango pori. Hajasema kubariki vitu vyao hata kidogo, labda kama document yako na yangu ni tofauti. Kumbe na wewe umo kwa kupika maneno? Hebu underline sehemu iliyotaja kubariki nyumba, mashamba na magari.
 
Sijui mnatetea nini!?.., Kanisa lolote linalomwabudu Mwenyezi Mungu halitakiwi kutoa support yoyote Kwa mambo yanayohusiana na ushoga. Ushoga ni uchafu uliopitiliza, hakuna dini yoyote ya kweli inayotakiwa kukubaliana na maswala ya ushoga na kuona ni sawa. Vinginevyo iwe ni dini ya uongo.
Ila wizi, ujambazi, uzinzi, hizi je?
Mnafiki mkubwa wee, na safarii hii mtajutaaaa,
Dadekiii zenu,
 

Unaingia kanisani pembeni unakaa na shoga limejipodoa manina. Hizi Dini tuwe nazo makini sana kama hawa wa Roman niliacha kusali muda sana
sio kujipodoa tyuuu yaan amekaa na bwana ake.
Mtajua hamjui safarii hii.
 
Back
Top Bottom