Pamoja na yote kaka zangu

MATY .....MATY..wanipa raha mie
dah mariooooo wanakuboa eennh?bt leo umewahurumia kdg
yap akikupenda demu uwez jali km ni marioo au kibamia...
niaje idd i mama ..nguo mpya tutapata??na viatu vpya....

hahaha rose marioooooooo kweli wananiboa hasa wale wanajitegeza kama alivyosema dena mtu unampa matokeo yake anaanza kujitapa lakini kuna wale mambo yanakuwa yamemuendea tu vibaya labda kafukuzwa kazi na mambo mengine ambayo yaweza mtokea binadamu yeyote haijalishi ni mdada au mkaka. Sikukuu ucjali nenda pale zizou nimelipia kapedo na katop vp vitakufaa
 
hayo mapenzi ya dhati unayoyasema yakuwapi nowadays????acheni zenu ninyi!kuyeyushana tu na kuzinguana ndo kumejaa siku hizi!mnapeana raha baada ya siku mbili kila mtu natime yake, ndo mtindo huo!ladies are so material-based nowadays!!!!!!!

Yapo kaka yangu ukiona wa hivyo mmepeana raha siku mbili katimka ujue hakupendi na wala hutakiwi kuhuzunika kuna ambae mungu amekupangia atakaekupenda kwa dhati kama hujaoa lakini (ila nahic we bacha mme wa mtu) lakini kama umeoa ikikutokea hivyo hayo ni malipo ya usaliti kwani tayari una mke hakuna ambae anampenda mume wa mtu kwa dhati mnadanganywa tu tunawafata hao kwa sababu ni so caring halafu hamsumbuani kwani anamkewe ila nikipata nimpendae lazima nikuache
 
Aisee mie sijawahi kukutana na mwanamke ambaye hapendi pesa...atazugazuga wee lakini mwisho wa siku habari ndio hiyo..:mad:
 
Kaka zangu pamoja na yote tunayozungumza humu wadada kwamba hatupendi mariooo, mara kibamia hitimisho ni kwamba mdada akikupenda kwa dhati hayo yote huwa hayajali kabisa kama huna pesa utapewa na kama una kibamia (ila kinachosimama) atakwambia tu nifanye hv na vile tukae staili hii ili mradi anajua hapa ndio atafika na taratibu mbaba utazoea na mtakuta mnaridhishana kikubwa mdada akupende na wewe ujiamini
Maty Darling....Hii useful post nimeitendea haki mimi peke yangu. Ikaguae hapo chini halafu na wewe nitendee haki kwenye PM:hippie::hippie::hippie:


The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:
Asprin (Today)
 
Kuongezea, Kinadada mkipenda msipende kabisaaaa!, utapata Mdada yu tayari kumfanyia jamaa, kila kitu yaani amependa 110%, Nao madume hupenda lakini hawafikii 70%, ndo maana utapata bado jamaa ana jicho la kishogoni, japo apenda kimwana!!

Kinadada msipende jamaa kama malaika, hawa ni viumbe wa mungu!
!!!!!!



dizaini kupenda mpaka mtu anajihic kujilipua....wanaume wa kuhudimiwa huwa na vijimambo sana, yupo kwa ajili hana akipata shida huanzia hapo.
 
tatizo la hawa kaka zetu wakigundua tu kuwa unawapenda mmmmh hivyo vitimbi vyake asikwambie mtu......hapa cha muhim ht kama umempenda usimwonyeshee kiviiile.....

Ni kweli 2my kwa upande wangu nikikupenda cwez jificha nakuonyesha ila siwi kipofu ukianza kuleta za kuleta nakupiga chini maisha yanaendelea nitaumia kidogo watu wanafiwa na baba zao na mama zao au watoto na wanasahau sembuse mpenzi unachotakiwa ni kutoruhusu mapenzi yautawale ubongo wako
 
dizaini kupenda mpaka mtu anajihic kujilipua....wanaume wa kuhudimiwa huwa na vijimambo sana, yupo kwa ajili hana akipata shida huanzia hapo.

Ni kweli kabisa nyamayao ndio maana mimi huwa kila siku nagombana kuhusu marioooooooo unaangalia kabisa huyu ana future na anajituma so unamsaidia akikwama kama ambavyo huwa na wao wanatusaidia yaani unakua mwendo wa kusaidiana
 
Aisee mie sijawahi kukutana na mwanamke ambaye hapendi pesa...atazugazuga wee lakini mwisho wa siku habari ndio hiyo..:mad:

Hakuna mwanamke wala mwanaume asiependa pesa pesa ndio kila kitu tukatae tukubali ukienda kumpenda ambae sio saiz yako lazima uchunwe tu
 
Ni kweli kabisa nyamayao ndio maana mimi huwa kila siku nagombana kuhusu marioooooooo unaangalia kabisa huyu ana future na anajituma so unamsaidia akikwama kama ambavyo huwa na wao wanatusaidia yaani unakua mwendo wa kusaidiana

Mariooo akili zao huwa zinasahau mara moja sana alikuwa na shida hana kazi unamsaidia akipata kidogo tu anaanza ni small house akibanwa huko anakuja anakudanganya ooohhh sijui gari imekuwaje sijui mafuta kumbe anapeleka small haouse pesa zako. Mie kimya mwaya!!!
 
Hakuna mwanamke wala mwanaume asiependa pesa pesa ndio kila kitu tukatae tukubali ukienda kumpenda ambae sio saiz yako lazima uchunwe tu

Mimi sipendi hela, nakupenda wewe mwanangu.
 
Mariooo akili zao huwa zinasahau mara moja sana alikuwa na shida hana kazi unamsaidia akipata kidogo tu anaanza ni small house akibanwa huko anakuja anakudanganya ooohhh sijui gari imekuwaje sijui mafuta kumbe anapeleka small haouse pesa zako. Mie kimya mwaya!!!


naonaga mara nyingi ni watu wa kudeka deka tu, akitaka hichi utafanya juu chini umpatie, c anajua unampenda sana?...mhhh mapenzi ya hivyo kweli yataka moyo...lol
 
naonaga mara nyingi ni watu wa kudeka deka tu, akitaka hichi utafanya juu chini umpatie, c anajua unampenda sana?...mhhh mapenzi ya hivyo kweli yataka moyo...lol

Wakiona unaweza kuwafanyia ni kosa la jinai. Wewe kudekeza no ila wao yes!!!
 
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!
 
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!

Wachache sana siku hizi ambao akiona unaweza kumsaidia akaendelea kujisaidia na yeye
 
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!


Na hawa ndio ninaozungumzia mimi ambae anapendeka kinachotakiwa mdada ujifunze kumtambua anaekupenda kwa dhati mbona muongo huwa anaonekana tu unatega mitego yako na anakamatika tu ukishamkamata unafukuza tu
 
[/B]

Na hawa ndio ninaozungumzia mimi ambae anapendeka kinachotakiwa mdada ujifunze kumtambua anaekupenda kwa dhati mbona muongo huwa anaonekana tu unatega mitego yako na anakamatika tu ukishamkamata unafukuza tu

Hapo kwenye bold hapo ndo penyewe sasa
 
hahaha baba sa we hupendi hela hata kazi hutaki fanya sa unanisomeshaje jamani

Baba yu radhi kufa maskini lakini akimpenda mwanae.

Kuna mijitu ina wivu huku ndani, itaanza kunionea wivu..... Na nyie kazaeni watoto wenu huko...:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Wachache sana siku hizi ambao akiona unaweza kumsaidia akaendelea kujisaidia na yeye

Wapo mpenzi jitahidi kuomba mungu uckate tamaa halfu utajaniambia cku moja kumbuka mungu analeta kwa wakati wake
 
Back
Top Bottom