Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Wana wake tukisema ndio tunamaanisha hapana Na hapana ndio.. So umempata
Wana wake tukisema ndio tunamaanisha hapana Na hapana ndio.. So umempata
Habari wana MMU..
Ni kama miezi mitatu imepita tangu nikutane na huyu dada mitaa ya Mwenge Dar Es Salam. Ilikuwa weekend flani moja hivi yenye wingi wa baraka na neema nikiwa duka flani la cosmetics nikiulizia mafuta flani ya nywele yenye jina la Morgan.Nilijikuta nikilazimika kuketi kwa dakika kazaa baada ya tabasamu na ukarimu niloupata toka kwa muuzaji.
Yule dada aliomba azishike nywele zangu ili anishauri mafuta mazuri kwa nywele zangu.Hakika alinipa huduma za upendeleo. Baada ya kumsogelea ndio niliona figure ilotoroka peponi siku ya uumbaji, hakika binti alijaaliwa kuanzia sura paka umbo baada ya muda mchache nilimuaga ila akaniomba namba ya simu kwa feedback ya nywele.Nikafika zangu home sikumtafuta kwa siku ile ila nilimpigia siku iliofata. Baada ya stori za apa na pale akaomba apafahamu geto.
Basi baada ya kama wiki mbili kupita mtoto si ndio akaja magethoni sasa.Baada ya kupaki kigari chake pale, nikamu huge, nikampokea mkoba paka ndichi.Binti ni mcheshi sana ila anatumia soda pekee. Mambo yakawa mukidii mukidee.Basi baada ya kama saa moja ivi akaomba kusepa na zaidi akaomba nimsindikize, yani twende wote.Muda wote akiwa na mie sura yake ilijawa na tabasamu lenye wingi wa upendo.
Baada ya kama mwezi mmoja hivi (Japo sio kawaida yangu)wa kuelewana kupita si ndio nikamua pproach.ETI AKAKATAAA,TUWE MARAFIKI HIVI HIV. ETI TUKIWA WAPENZI KUNA SIKU TUTAZINGUANA NA TUTAACHANA MAZIMA IKIWA YE ATAKI KUNIPOTEZA.
Maswali nilojiuliza;
1 Kuna wanaume tumezaliwa kuja kuwa marafiki wa waichana wazuri tu
2 Kwanini wasichana wazuri wanakosa confidence kiasi hiki.Je ni kweli wengi hawajui mambo ndo maana wana hofu ya kuachwa mda wote.
3 Kwanini hataki niwe boi wake huyu, au kisa nimekaa kiplei boi sana, au anahisi sina pesa ya kumtunza au labda anamchumba tayari.
N.B
SIJAWAHI NA SITO MUULIZA KAMA KAOLEWA, ANAMCHUMBA AU MPENZI KWA SABABU NAJUAGA MAJIBU YA MASWALI HAYA PINDI UNAPOOMBA PAPUCHI.
Sikupga mswakiUlivyokuwa unaongea nae ulikiwa unarusha mate.. au mswaki hukupiga...
Party two itasema Kat yang na mwalimu wako nani ana sanaa ya mviringoAlijisemea mwalimu wangu "sanaa ya mwafrika ni mviringo"
Yani baada ya kukuchangamkia ukaanza kuwaza kitobo kumbe mwenzio wala mawazo hayako huko.
Yan mwezi na nusu bado ni haraka haraka iyo?kwan ambayo sio haraka haraka uwa inakuwa na kama gape la mda ganiAhahah ndo itabidi ajivunge tu for second chance mana hakuna namna
Duuuhh..tatizo Ata nikisema nianze kupunguza mawasiliano yani nianze kumchunia,analalamika sna.sasa kama ana bwana si atulie na bwana ake uko!mimi wa nini sasaumechelewa sana kupeleka maombi yako mwezi mzima...itakuwa mwanzo alikuwa na mapenzi na ww ila alivyoona usemi katokea jamaa mtaa wa pili kajieleza kapewa mambo ww unachukulia kama kaka sasa
sasa cha kufanya endeleza maombi jamaa aachwe kule urudiwe wewe
Au nilibugi wapi,au labda mapema sana,au labda n babe wa flan,au nlkosea wap.Getho anakuja km nkmuandaaMsukuma, acha buana
Hakuna ulipobugi hata kidogo,ymefata the same procedures isipokuwa labda mhusika ilipaswa utumie approach nyingine beforeAu nilibugi wapi,au labda mapema sana,au labda n babe wa flan,au nlkosea wap.Getho anakuja km nkmuandaa
Jigga ft swizzChristbrown ft swizz beats and lil wayne
Hakuna ulipobugi hata kidogo,ymefata the same procedures isipokuwa labda mhusika ilipaswa utumie approach nyingine before
Sawa,ila si utangaze ndoa kabisa?kama umempeleka geto means huna mke,kamata fursa bro,,,,umsitiri dada wa watuBasi sawa.uyu nammudu mbna,sehem ya pili inakuja na mbeleko kibao
Pia anataka kukupima utayari wako kama kweli anakupenda. Maana kulingana na maelezo yako yeye kukusotea sana kuliko wewe juhudi ulizozifanya. Kwahiyo kama unampenda jaribu kuinvest time na hatimaye utampata.
Habari wana MMU..
Ni kama miezi mitatu imepita tangu nikutane na huyu dada mitaa ya Mwenge Dar Es Salam. Ilikuwa weekend flani moja hivi yenye wingi wa baraka na neema nikiwa duka flani la cosmetics nikiulizia mafuta flani ya nywele yenye jina la Morgan.Nilijikuta nikilazimika kuketi kwa dakika kazaa baada ya tabasamu na ukarimu niloupata toka kwa muuzaji.
Yule dada aliomba azishike nywele zangu ili anishauri mafuta mazuri kwa nywele zangu.Hakika alinipa huduma za upendeleo. Baada ya kumsogelea ndio niliona figure ilotoroka peponi siku ya uumbaji, hakika binti alijaaliwa kuanzia sura paka umbo baada ya muda mchache nilimuaga ila akaniomba namba ya simu kwa feedback ya nywele.Nikafika zangu home sikumtafuta kwa siku ile ila nilimpigia siku iliofata. Baada ya stori za apa na pale akaomba apafahamu geto.
Basi baada ya kama wiki mbili kupita mtoto si ndio akaja magethoni sasa.Baada ya kupaki kigari chake pale, nikamu huge, nikampokea mkoba paka ndichi.Binti ni mcheshi sana ila anatumia soda pekee. Mambo yakawa mukidii mukidee.Basi baada ya kama saa moja ivi akaomba kusepa na zaidi akaomba nimsindikize, yani twende wote.Muda wote akiwa na mie sura yake ilijawa na tabasamu lenye wingi wa upendo.
Baada ya kama mwezi mmoja hivi (Japo sio kawaida yangu)wa kuelewana kupita si ndio nikamua pproach.ETI AKAKATAAA,TUWE MARAFIKI HIVI HIV. ETI TUKIWA WAPENZI KUNA SIKU TUTAZINGUANA NA TUTAACHANA MAZIMA IKIWA YE ATAKI KUNIPOTEZA.
Maswali nilojiuliza;
1 Kuna wanaume tumezaliwa kuja kuwa marafiki wa waichana wazuri tu
2 Kwanini wasichana wazuri wanakosa confidence kiasi hiki.Je ni kweli wengi hawajui mambo ndo maana wana hofu ya kuachwa mda wote.
3 Kwanini hataki niwe boi wake huyu, au kisa nimekaa kiplei boi sana, au anahisi sina pesa ya kumtunza au labda anamchumba tayari.
N.B
SIJAWAHI NA SITO MUULIZA KAMA KAOLEWA, ANAMCHUMBA AU MPENZI KWA SABABU NAJUAGA MAJIBU YA MASWALI HAYA PINDI UNAPOOMBA PAPUCHI.
Izi mbwembwe za kiuandishi mwisho nni apa apa Jf mkuu.Mara nyingi nikiwa nae uwa nakuwa msikilizaji labda paka pale ahitaji mawazo yang.kiufup nkiwa nae ujanja wote mfukoniUandishi wako una-reflect tabia ya ''usanii '' ulionayo. Ukibadili gia angani utampata.
Trainin wakati kwenye zile alfabeti kuanzia A-Z sijagegeda majina yanayoanziwa na Q,I na Y pekeee.Sasa iyo trainin ya nini kwanguKweli kabisa, mtongoze tena.
Trainin wakati kwenye zile alfabeti kuanzia A-Z sijagegeda majina yanayoanziwa na Q,I na Y pekeee.Sasa iyo trainin ya nini kwangu