The king 07
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 521
- 751
be patient mkuu,..kuku wako tayari huyo huhitaji kumshikia manati...urafiki wenu utaibuka kuwa penzi zito
Haraka haraka imeshamponza tayari!Endeleeni na urafiki tu mkuu time will tell usiwe na haraka
Hiyo figure iliyotoroka peponi Siku ya uumbaji .....basi uumbaji kwake haikukamilikaUliona figure iliyotoroka peponi siku ya uumbaji
Christbrown ft swizz beats and lil wayneOn to the next one....
hakika sasa jamaa amepagawa nayo hiyo hiyoHiyo figure iliyotoroka peponi Siku ya uumbaji .....basi uumbaji kwake haikukamilika
Mfumo wa kutongoza siku hizi hakuna.. shika mkono vutia ndani baasi.. hakuna kuongeaKaka sijawai omba ushauri kuhusu ligi za mchangani km izi
Uyo mtoto ana akili ya kujiongeza ka alisoma Chuo kikuu cha ujanja.Mbinu zote alikuwa anazishtukia paka nakosa pozi
Nikaonelea kuanza upya si uzembe.ngoja nmtongeze tu potelea mbal atakachojibu.
Majbu ndo km ivo sasa,MI NAHISI LABDA NI MUATHIRIKA WA HIV UYU
Party two unakuja lakini
Ahahah ndo itabidi ajivunge tu for second chance mana hakuna namnaHaraka haraka imeshamponza tayari!