Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
nimpedae ananipotezea nifanye nn aache kunpotezea?
Mpende zaidi na zaidi!
nimpedae ananipotezea nifanye nn aache kunpotezea?
. . . . . ????!
Peaneni maujanja basi jamani, afanyeje ili apendwe?
Wengine tumezoea kupendwa ndio tupende kwahiyo hatuna ushauri.
Fafanua Mshiki
Wengine tumezoea kupendwa ndio tupende kwahiyo hatuna ushauri.
Nifafanue sehemu ipi?
Wengine tumezoea kupendwa ndio tupende kwahiyo hatuna ushauri.
Ina Maana kila anayekupenda na wewe unajenga Upendo? Au Unamaanisha Upendo upi? Upendo wa Agape au Upendo wenye lengo la Kuendeleza Ukoo?
siku hizi love is so complex, any body can start loving
Wa kimapenzi, ila inabidi niangalie na huyo mtu huwezi kurudisha upendo huo hovyo hovyo. Sio unapenda penda tu. Ni kama ambavyo mtoa mada kadata kwa mtu ambae hajarudisha hizo hisia kwa sababu zake binafsi.
Ha ha ha sasa nimeshaanza kukusoma! Wafaransa wanasema " Mpende akupendaye asiyekupenda achana naye".
jamani nauliza
Ucharming unasomewa wapi?
Peaneni maujanja basi jamani, afanyeje ili apendwe?
Ukipenda usingoje kupendwa. Hakikisha tu atakuoa na hakupotezei muda, kama hawezi hilo, achana nae.
Unagawiwa wakati mimba inatungwa.
Vipi, we huna?