neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
yap mwaya......umekalia pande zipi we can meet ujue
sure niko mbele kabisa karibu na stage... kwenye taa inayozunguka mydia (upande wa kushoto wa jukwaa).
yap mwaya......umekalia pande zipi we can meet ujue
yeye yaaaaaaa
now anaperform Ben pal ndie msanii wa kwanza
sure niko mbele kabisa karibu na stage... kwenye taa inayozunguka mydia
Ninavofahamu JD hapigi show bila milioni 10 mezani. na najiuliza kwanini diamond hakuitwa ku-perform hii show
sure niko mbele kabisa karibu na stage... kwenye taa inayozunguka mydia (upande wa kushoto wa jukwaa).
sidhani kama kuna umuhim dimond awepo kila show, na jana nimeshangaa sana hawa jamaa wanaulizwa juu ya style aliyovaa dimond kwenye harus ya peter sikuamin walipojibu hawamfahamu, adrian step akasisitiza dimond from tz wakasema hawamjui na bado akasisitiza mlipiga nae picha bado wakasema tulipiga picha na waalikwa weng ila huyo hatumjui wao wanamkumbuka adibayor na wengne wengne dah nilichoka.
hii nafikiri ni show ya watu wenye uwezo wa kuimba live.Ninavofahamu JD hapigi show bila milioni 10 mezani. na najiuliza kwanini diamond hakuitwa ku-perform hii show
sidhani kama kuna umuhim dimond awepo kila show, na jana nimeshangaa sana hawa jamaa wanaulizwa juu ya style aliyovaa dimond kwenye harus ya peter sikuamin walipojibu hawamfahamu, adrian step akasisitiza dimond from tz wakasema hawamjui na bado akasisitiza mlipiga nae picha bado wakasema tulipiga picha na waalikwa weng ila huyo hatumjui wao wanamkumbuka adibayor na wengne wengne dah nilichoka.
Diamond hakualikwa kwenye ile harusi. Aliingia kwa kutumia kadi ya Davido ambayo ilikuwa double.mavazi yake tu yalionesha ni jinsi gani hakustahili kuwepo eneo lile.
Diamond hakualikwa kwenye ile harusi. Aliingia kwa kutumia kadi ya Davido ambayo ilikuwa double.mavazi yake tu yalionesha ni jinsi gani hakustahili kuwepo eneo lile.
Halafu ujue nimekuona, tulipishana nkakugonga bega kidogo
Kumbe nawe upo hapa twala vumbi pamoja....
Mtoto wa kiume na umbea na uongo wapi na wapi? Jide akiwa na band hachukui chini ya 10M..fanya research kabla ya kuropoka hapa...and FYI wamekula pesa nzuri sana zaidi ya hiyo unayosemaJamaa wamelipwa Dola laki 2 Jaydee na prof J milioni 6 Kila mmoja..... Benpoul Milioni 4 na Joh makini milioni 3.... Wasanii wa Tanzania wana kazi kubwa sana ya kuongeza thamani yao..
AiseeeMtoto wa kiume na umbea na uongo wapi na wapi? Jide akiwa na band hachukui chini ya 10M..fanya research kabla ya kuropoka hapa...and FYI wamekula pesa nzuri sana zaidi ya hiyo unayosema