Kubenea kwanza ampatie baba yake kazi ya kuendesha magari ya Mwanahalisi kisha amjengee nyumba kule Baleni, Mafia kisha mwenyewe akamwombe msamaha "deddy" wake kisha ndio afikirie kugombea ubunge
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Kubenea anafaa sana uongozi umahiri wake katika uandishi kama kiboko cha mafisadi ni ushahidi.Mambo ya kuomba radhi ni ya binafsi yake,tuache ushabiki unaoipa nchi yetu viongozi wazuri wa sura lakini wasio na maadili ya uongozi.
naona mzee umenisahau kabisa........nitakuwepo...Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Nshalisema hilo Mdau. Hebu angalia orodha yenyewe,looks like mwandishi kaweka majina kwa kujuana. Katika orodha hii baadhi tayari ni wabunge na dodosa dodosa zetu zinatwambia piga ua 2010 hawarudi,ujana kisiwe kigezo pekee tuangalie na uwezo pia jamani!Unawateua wewe au una maana gani? Duuh! mpaka 2010 tutaona mengi kutoka kwa JF "new members"!
Lol umenivunja mbavu kwi kwi kwi kwi!!!! na Kondic tumpe uraia awe mbunge wa jimbo jipya la Masaki na Oysterbay kwa watasha!Democracy at its BEST, sit say anything relating to politics and feel very strong about what you said - regardless of the substance!!!! Oh wait!! The best democracy is also when one takes all the voting rights of others and makes decision
I love your democracy Agwambo... let me try to put youths kwenye majimbo yaliyobaki
1. Kigoma kusini - Juma Kaseja 2. Mkuranga - sulemani chande 3. Nyamagana - Mrisho Ngassa
YES WE CAN!!!
Taratibu kijana punguza munkali!!!! Bandiko la tatu tu kwenye JF unakuja na unabii wa kisiasa. Tusemeje, au umekuwa Shekh Yahya?? Nashauri utumie vizuri tu uhuru wako wa kikatiba kwa kuchuja kila kitu kwa makini kabla hujabaandika.
Naanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza
Beware! Mtandao at Work!
Look for yourself:
OUT Ndesamburo? Samwel Sitta? Anna Kilango? Dr Harrison Mwakyembe? Dr Wilbrod Slaa? Ole Sendeka?
Is it a concidence that all these are widely being identified as fighters against UFISADI? No way, this is not a coincidence!
Mi nimeingia humu kwa sababu moja tu; nilipoona maneno "wabunge VIJANA" mwili ulisisimka. Inakukumbusha chochote? Yaani bado nina hasira!
Kwa mtanzamo huo unapoteza sifa ya kuwa Greatthinker masuala ya siasa si kukurupuka jenga hoja kaka.Hiki si kijiwe cha wanywa kahawaNaanza
Zito Kabwe (Kigoma kaskazini) ,Nape Nauye (Kinondoni) ,Said Kubenea (mafia),Husein Bashe (Nzega) Jery Slaa (Ukonga) ,Amos Makal (mvomero) ,John Nchimbi (Kigamboni), Sango Kasera (Rorya) ,Dr Emanuel Nchimbi (Songea mjini) ,Martin Shigela (kishapu) ,Denis Msacky (vunjo) ,Alima Mdee (kawe) ,Tom MWANGONDA (MBEYA mJINI) ,John Mrema(rombo),John Mashaka
Grees zinazohitajika ,
Phielemon Ndesamburo,Samwe Sita ,MAMA Kilango,Dr Mwakyembe,DR Slaa,Ole Sendeka,
Mzee Malecela,Kingunge,sarungi ,Warioba,Kitine,na wwngine rika lao wakae pembeni wawaaachie vijana waendeshe gurudumu la Taifa
Ruksa kuongeza