Hahaha mkulu sasa tuku saidieje? Jina hatuna uhakika ndilo utakalo tumia kuombea kura. Jimbo kwa sasa liko classified. Sasa tuanzie kukusaidiaje? Hapa nataka kukufanyia fundraiser lakini sijui pesa zita tumwa kwa nani na kwa ajili ya jimbo gani. Au ni utani tu wa kuchangamsha jamvi mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.