kasema hili?Kigoma kuwa Dubai
Watanzania wote waamue kupima UKIMYA......yeye kapima na majibu yake tumeambiwa ila mimi Mzitto SIYAAMINI. Yatakuwa ni KINYUME cha ukweli!7. Njia ya mkato kawe junction ifunguliwe na JWTZ - Imefuguliwa
8. Meneja Mtibwa Sugar Afukuzwe - Kafukuzwa
9. Sumaye apokwe shamba la ekari 320 Mororgoro
10. ....
11. ...
Kwa kuanzia mimi nakumbuka AHADI hizi hapa chini
Na orodha hii iendelee... karibuni sana wanajamvi
- Meli kubwa ya usafiri- Ziwa Victoria
- Maboti ya Usalama Ziwa Victoria na Tanganyika
- Daraja la Kigamboni
- Barabara za juu kwa jiji la Darisalama
- Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa- Bukoba
- Ununuzi wa Ambulance Bajaj (400)
- ...
- ...
- ...
Wananchi wa TZ, zipokeeni ahadi za JK kwa tahadhari kubwa sana. JK hipi ni kipindi chake cha mwisho anaweza kuahidi hata kujenga barabara angani, ana uhakika hakuna atayemuuliza kipindi kinachokuja. Hivyo yuko tayari kumwaga ahadi nyingi za uongo ambazo hakuna atakayemuuliza baadaye. Ninawahurumia sana kama mtaziamini hizo ahadi hewa za JK. Ni vizuri tukajiuliza kwamba alikuwa wapi kutekeleza hizo ahadi katika miaka mitano yote ya mwanzo aliyokuwa ikulu? DANGANYA TOTO!