VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Na Masanja ni mtangazaji wa Times FM..Ndiyo maana wengi wanajihusisha na masuala ya muziki like Joti(mchakamchaka) na Mpoki(shangazi)...na tayari single zao ziko sokoni...ukute walishajua kwamba kikinuka huku wataibukia kule...si tayari washakuwa maarufu.