Wakamwombe msamaha mzee Mengi hana noma atawasamehe tu
Naona mnataka kuleta uchama na siasa kwenye hili jambo . Hawa jamaa ni wazuri kuliko wale vilaza wa eatv hilo kila mtu anajua . Hakuna mtu bongo asiyemjua joti au masanja . Paka watoto wakawa wanaiga staili ya kushtua ( kijoti joti ) . Kosa sio kuhamia tbc ila kosa ni kuhama eatv na kumtukana mzee mengi aliyewafikisha hapo alipo .
mimi nasema watu wote walioipigia kampeni au wanaendelea kuipigia chapuo ccm lazima laana iwaangukie.the original komedi wanavuna walichopanda,na kwa kweli hawa jamaa watafulia mpaka aibu..sijui watakimbilia wapi.walidanganywa na manji na vihela vya msimu.laana ya kuwapigia kampeni ccm inawala na itawala sana.
Wamuombe msamaha Mengi kwa kosa gani walilofanya? Kwani TV bongo ni EA na ITV tu? Mbona zipo channel nyingn nyngi wanaweza kufanya vipindi vyao
kuna wakati jf inahitaj vigezo vya kuwascreen great thinkers....!naona members wengi sasa wanaingia chaka
ni kitu gani ambacho hawa vijana wapambanaji wamewakosea wana jf????!!.....
acheni izo bana...!tukiamua kuuzungumza ukweli...hawa jamaa ni real comedians ever....!mnashindwa kuwapa support hata ya mawazo tu...mnapoteza time kuwazodoa..!acheeen iiizooooo....!
wabeyora na balantanta....i second you guys...!