Opinion: Shukuru Kawambwa ni waziri mbovu kuliko wote Tanzania

Hawa ghasia Naye hafai amekaa sana kwenye hiyo wizara na anaboronga tuu Kwanza sijui kasoma nini? Anajifanya Ana hasira sana sio mstaarabu kabisa
Hawa Ghasia!! Bibi mipango wa wilaya ya mtwara!! alikuwa hawezi kumudu hata kadamnasi ya watu 15 sasa ni Waziri!!! Kweli kikwete katuweza!!! Ninamkumbuka sana niliwahi kubishana naye kidogo huko mtwara kwa masuala madogo ya kikazi AKALIA MACHOZI eti sasa ni WAZIRI! Huyu Jakaya hana jema na Nchi hii.
 
Serikali yote ni mbovu sasa wewe unauliza waziri mmoja?

Pamoja na hilo kuna kitu huwa tunapuuza lakini kina umuhimu nacho ni hiki; kuna wizara mbovu pia. So kuna wizara mbovu na pia una mtendaji mbovu mfano maliasili na afya. Wizara zenyewe ni bomu kabisa watendaji wake (katibu, maofisa nk) hawafai na juu yake waziri nae kimeo so sio kubadili mtu bali ku-overhaul na wizara ni muhimu.
 
Kweli wakuu wapo wengi nakumbuka celina kombani aliposhupalia kua serikali haiwezi kuunda katiba mpya,nae ni zigo
 
Wasira jamani wasira huyu sijui anafanya nn,anajali chama
 
Hahahahahah,alikumbuka janga la usiku uliopita
Hawa Ghasia!! Bibi mipango wa wilaya ya mtwara!! alikuwa hawezi kumudu hata kadamnasi ya watu 15 sasa ni Waziri!!! Kweli kikwete katuweza!!! Ninamkumbuka sana niliwahi kubishana naye kidogo huko mtwara kwa masuala madogo ya kikazi AKALIA MACHOZI eti sasa ni WAZIRI! Huyu Jakaya hana jema na Nchi hii.
 
Inasikitisha sana wakuu karibia mawaziri wote hawafai sijui lini atatokea Sokoine mbadala ili awanyoshe mafisadi
 
Tena bora tusiwe na mawaziri wanatugharimu,serikali iajiri watashi kwa mkataba maalum,mbunge awajibike kwa wananchi
 
Napendekeza hata wakiteuliwa mawaziri iwe kwa mkataba,atakae kiuka awajibishwe kisheria wakuu
 
Mkuu FJM nimekuwa nikisikia madeni hayo ya tanroads. Hivi yametokana na ni nini? Nani kayasababisha?

Kuna mlolongo wa blunders:
1. Kujenga barabara ambazo hazikuwa ndani ya bajeti kipindi husika (hili lilizua zogo sana na wafadhili) maana linaharibu kabisa bajeti ya mwaka.

2. Usimamizi mbovu sana na uvivu/uzembe wa kunganua gharama halisi za ujenzi. Ujenzi wa kilomita moja uliongezeka mara 3. Sasa kama unafanya bajeti lakini gharama zinabadilika kila mara mwisho wa mwaka unajikuta umefanya sehemu ndogo tu ya mipangilio.
 
Kombani kazidi.Mnakumbuka statement zake kwamba hakuna haja ya kuwa na katiba mpya.Baadae bosi wake akaona kuna umuhimu.
 
Wakuu miongoni mwa mawaziri wasistahili uteuzi wao ni Shukurukawambwa,tangu wizara ya miundombinu sasa wizara ya elimu ndo inaporomoka kwa kasi. My take mtazamo wangu wakuu nawasilisha
Karibu wote wabovu ila kuna swala kubwa ambalo ni Boss JK hatoi direction na vision anataka Tanzania Gani ndio tataizo KUBWA ZAIDI
 
Katiba ijayo waziri atume maombi kama ana vigezo apewe wadhifa
 
Back
Top Bottom