Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
- Thread starter
- #41
hapo umenielewesha mfumo wa awali naunga mkono waurudishe na libodi lao chakachuzi lifie mbalienzi zetu ubishgi ulikua unamalizwa kwa marks - division 1 kwanza, 2 wanafuatia kama hela bado ipo wenye 3 za kwanza wanapewa kwa iyo kila mtu alikua anajua kupata pesa ya serikali ni makamuzi tu sio sasa mara mna uwezo wakati haman mara serikali haina pesa na kila dalili yta uongo ndio shida warudishe tu system ya zamani iliyokua inatufanya watoto wa maskini tulale miguu kwenye maji kuzitafuta wani!