Opinion;Bodi ya mikopo vyuo vikuu ifutwe

enzi zetu ubishgi ulikua unamalizwa kwa marks - division 1 kwanza, 2 wanafuatia kama hela bado ipo wenye 3 za kwanza wanapewa kwa iyo kila mtu alikua anajua kupata pesa ya serikali ni makamuzi tu sio sasa mara mna uwezo wakati haman mara serikali haina pesa na kila dalili yta uongo ndio shida warudishe tu system ya zamani iliyokua inatufanya watoto wa maskini tulale miguu kwenye maji kuzitafuta wani!
hapo umenielewesha mfumo wa awali naunga mkono waurudishe na libodi lao chakachuzi lifie mbali
 
Asiyepata mkopo utamjua tu!
I love u HESLB,someone tryna break u down,but I'm telling u my dear HESLB I'll love u forever!Basi nikiss,nichum mwaaaaah!
 
we unaetaka alie soma PCB na aliesoma HKL wawe sawa nadhani jipange upya
 
Back
Top Bottom