Operesheni UKUTA njia ya kumpeleka Magufuli ICC

1470071031881.jpg
 
Hivi hujui siasa nayo ni kazi? maana kuna watu wanaodai kuwa muda wa siasa umekwisha sasa ni kazi nadhani hawaelewi maana ya neno kazi.
 
Mwenye macho haambiwi tizama ila huangalia mwenyewe na kuona kinacho tokea. Operesheni UKUTA imeratibiwa maalumu kwa kumuweka Magufuli kwenye mtego wa kwenda ICC na wananchi kumchukia kwa mkono uliojaa damu za ndugu zao. Ikiwa hakuna sheria inayozuwia mikutano ya siasa kufanya mikutano isipokuwa kauli ya raisi na polisi tu. Leo ikitokea kufanyika mikutano na polisi kuuwa wananchi wasio na hatia Vyama vya Upinzani na kufungua kesi Mahakama ya Afrika Mashariki na ICC serikali itajitetea kwa kutumia kipengele kipi cha katiba na sheria?
hapo ndo ulipofikia katika kufikiri kwako?
 
ICC wako busy na kesi zenye mshiko, haya ya kupigwa marungu TZ hawana habari nayo. Wazungu tumesha waweka kwenye kumi na nane. Hata mkipigwa risasi watasema ni dawa yenu
 
Mamlaka ya kutawanya mikusanyiko na maandamano popote yanapofanyika Sheria Na. 3 ya 1995 Jedwali. 44. Afisa polisi msimamizi anaweza kusitisha au kuzuia kufanyika au kuendelea kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano yoyote katika sehemu yoyote ile kama, kwa mawazo ya afisa huyo anaona kufanyika au kuendelea kufanyika, kama inavyoweza kuwa, kwa mkusanyiko au maandamano hayo yanavunja amani au kuvuruga usalama wa umma au kulinda amani na amri, na anaweza, kwa manufaa ya umma, ikiwa ni pamoja na amri ya kutawanya kwa mkusanyiko huo au maandamano kama ilivyosemwa. [kifungu cha 41]

Power to disperse assemblies and processions wherever held Act No. 3 of 1995 Sch. 44. The officer in charge of Police may stop or prevent the holding or continuance of any assembly or procession in any place whatsoever if, in the opinion of such officer the holding or continuance, as the case may be, of such assembly or procession breaches the peace or prejudices the public safety or the maintenance of peace and order and may, for any of the purposes aforesaid, give or issue such orders as he may consider necessary or expedient, including orders for the dispersal of any such assembly or procession as aforesaid.

46.-(1) Any person who– (a) neglects or refuses to obey any order given or issued under the provisions of subsection (4) of section 43 or section 44; or (b) contravenes any particular specified by the Minister in accordance with paragraph (c) of subsection (1) of section 43, commits an offence and may be arrested without a warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding fifty thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding three months or to both such fine and imprisonment. (2) Subject to


(a). every person taking part in convening, collecting, forming or organising such assembly or procession commits an offence and may be arrested without a warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding two hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding one year or to both such fine and imprisonment;

(b) every person attending such assembly or taking part in such procession, who knows or has reasons to believe that such assembly or procession has been convened, collected, formed or organised otherwise than in accordance with the provisions of subsection (1) of section 43, commits an offence and may be arrested without a warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding one hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding six months or to both such fine and imprisonment.
 
ICC wako busy na kesi zenye mshiko, haya ya kupigwa marungu TZ hawana habari nayo. Wazungu tumesha waweka kwenye kumi na nane. Hata mkipigwa risasi watasema ni dawa yenu
Baada ya kutumia akili unatumia tumbo
 
Hivi hujui siasa nayo ni kazi? maana kuna watu wanaodai kuwa muda wa siasa umekwisha sasa ni kazi nadhani hawaelewi maana ya neno kazi.
Umeongea point nzuri sana kuna watu ndio ajira yao siasa bila ya siasa hawana ajira
 
HIVI KWA MFANO,NIMEWAZA TU LAKINI.....

Ili chama kiweze kufanya mkutano au maandamano si wanapaswa kuomba kibali polisi,sasa kama CHADEMA wataomba kibali cha kufanya maandano ili kutekeleza hiyo operesheni UKUTA na polisi kukataa kutoa kibali kutokana na sababu za kiitelijensia,...

JE,Chadema watalazimisha kuendelea na mikutano na maandamano licha ya katazo la polisi???

Let's assume wameendelea na maandamano..

Na kama polisi wataamua kutumia nguvu sasa ya kutawanya mikutano na maandamano hayo,nani atakuwa kavunja sheria????
BILA SHAKA WATAKUWA CHADEMA,....

SASA CHADEMA ITAWEZAJE KWENDA ICC KUISHITAKI SERIKALI WAKATI YENYEWE NDO ILIVUNJA SHERIA????

Mawazo yangu yakahitimisha kuwa huu mtego wa CHADEMA kama alivyosema mtoa Mada utafeli,JPM hatanasa....
 
HIVI KWA MFANO,NIMEWAZA TU LAKINI.....

Ili chama kiweze kufanya mkutano au maandamano si wanapaswa kuomba kibali polisi,sasa kama CHADEMA wataomba kibali cha kufanya maandano ili kutekeleza hiyo operesheni UKUTA na polisi kukataa kutoa kibali kutokana na sababu za kiitelijensia,...

JE,Chadema watalazimisha kuendelea na mikutano na maandamano licha ya katazo la polisi???

Let's assume wameendelea na maandamano..

Na kama polisi wataamua kutumia nguvu sasa ya kutawanya mikutano na maandamano hayo,nani atakuwa kavunja sheria????
Wakikujibu nidipu.
 
Back
Top Bottom