Lissu atimkia Ulaya baada ya kuharibu

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Mar 1, 2019
295
679
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Mara nyingi huwaanaenda na kurudi
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Huo utumbo ni wa mnyama gani? Mbona mrefu hivyo?halafu umeanza kutoa harufu ya uozo,au ni wa fisi?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Ulikuwa jela? Lissu ni wa kimataifa. Msomi. Lazima atembee na kujifunza. Unadhani ni kama mama Abdul anayegawa bandari kwa waarabu?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Umemaliza uharo wako? Haya ngoja harufu ipungue ujibiwe! Dalali wa mali zetu kinyangaka mkubwa. Hivi wamasai kwako ni nyani eti eh!? Huyo macho mlegezo asiye na haya anayeuza kila kitu ndiye aliyekutuma uje unye hapa!? Kama ni wa kupuuza si mngemwacha awafikie ngorongoro. Kitakaponuka wewe utajichimbia kaburi mwenyewe nakuona shubamiza kubwa
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Wewe ndiye wa kupuuzwa umeandika ujinga tupu
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Yes, the jamaa ni mjanja sana, anajua na anaamini hawezi fanikiwa kwa namna yeyote kuharibu chochote nchini na kwahiyo ni lazma apeleke report ng'ambo kuhusu ni sehemu gani hasa serikali hii ni strong na sehemu gani waek ambazo wanaweza kuzitumia kujipenyeza na kuharibu nchi huku yeye akiimarisha uhakika wa makao yake yeye binafsi na familia yake huko ughaibuni in case mambo yakaharibika huku nyumbani.

na actualy watoto wa mjini wameshastukia hako kamchezo kake na wameanza kuchukua tahadhari zote ikiwa ni pamoja kujitenga nae taratibu kama tulivyoshuhudia alivyokua anagalagala barabarani mwenyewe huku viongozi wa kanda kaskaz na wakiatafa wenzie wakiwa wamejificha pasipojulikana....
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Ni mamb gan yasiyo na msingi anayoishambulia serikali? Ni matusi gan ambayo anawatukana viongoz? Hizo hotuba za uchochez ni kama zipi? NB: Huyo unaemuita kibaraka wa wazungu ilhali haohao wazungu ndio mnawapigia magoti kuwaombaomba misaada na mnawategemea kuwapa msaada ili kukidhi budget yenu ya mwaka!! Jibu maswal yangu hapo ili jukwaa lijiridhishe na madai yako!!
 
Huyo alikua anatafuta sababu tu kuonyesha mabeberu wamkubalie ukimbizi wake aongezewe muda kukaa huko.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Kwani Mtanzania kwenda Ulaya hata kutalii tu ni dhambi? Hakupitia ukaguzi hapo airport?
Jifunze kuandika vizuri propaganda za chana chako kinachohodhi uwanja wote wa siasa hapa Tz.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Pole yako
 
Back
Top Bottom