Operesheni UKUTA njia ya kumpeleka Magufuli ICC

ICC kitu gani ww nchi hii sio ya wazungu ni yetu na tutaiendesha kwa mujibu wa makubalino yetu kikatiba
ICC ataenda kibaraka wao chadema
Hata Saddam na Gaddafi walikuwa na kauli kama hizo za kibabe mwisho wake umeuona. Wazungu wanakuachia kama hujaingia kwenye zone zao lakini Tanzania inaingia huko. Nitakuja na uzi mwengine unaongelea Tanzania na mafuta na gesi hapo utanifamu vyema.
 
Hakuna mpuuzi yeyote atakaeandamana
Labda hao wakina lowasa na mbowe
Maana sisi wanachadema wa ngazi za chini hatuoni sababu ya maandamano hayo
Kupinga kile ambacho hao hao wakina mbowe walikilalamikia kuwa hakifanyiki kwa miaka mingi
Leo kinafanyika
hao hao wanakipnga
huo ni ulofa na upumbavu
Tuomyeshe kadi ya uanachama au unazo za masaburi.
 
Yaani msimu wa kilimo ndio unaanza, mheshimiwa rais kazuia kodi za mazao, kwa raha zetu wakulima nani akubali kufanywa chambo cha UKUTA! Mbowe na familia yako tangulieni sisi tupo shambani, tutakutana 2020!
 
Yaani msimu wa kilimo ndio unaanza, mheshimiwa rais kazuia kodi za mazao, kwa raha zetu wakulima nani akubali kufanywa chambo cha UKUTA! Mbowe na familia yako tangulieni sisi tupo shambani, tutakutana 2020!
Mkulima gani mshenzi tu mbowe anatetea familia yake? Basi na huyo aje na familia yake. Hao maasikali ni watoto wetu angalia itafika wakati kibao kinageuka.
 
Very timely arranged....! Kinachotokea ni kumchosha na kumuanika jamaa udhaifu wake na watendaji wake....ni mbinu za kisiasa kupima weledi wake na hekima yake...hili wengi hawajaligundua
Mwisho akifanikiwa kutoharibu atakuwa amechoka mno...angalia sasa operation UKUTA imemlazimisha naye aanze kuzunguka mikoani kama kipindi cha kampeni wakati huku kuna majukumu ya urais yanamsubiri
Haya mambo ya kisiasa angekiachia chama chini ya katibu mkuu . katibu mwenezi na viongozi wengine waifanye ili binafsi apate wasaa mzuri wa kushughulika na ya kitaifa
Wenzake wana majukumu ya kichama tu anataka kushindana nao....ikifika 2018 kwa mwendo huu atakuwa hoi mno na hiki ndio upinzani wanachotafuta
Ukitaka kumshinda mpinzani wako mchoshe mwili na akili

Daaah. Unaakili sana mkuu.

Ila nadhani Chadema wanakosa au wanamisimamo isiyoruhusu watu wenye uwezo mkubwa kama ulio nao kukijenga na kukishauri chama.
 
Ni kweli alichoandika mleta mada lakini tujiulize swali tu je, ni jambo gani baya alilofanya Raisi linalowafanya wananchi wa kawaida waandamane kwa sasa?
Kama hakuna tukio au jambo baya alilofanya rais kwa kipindi alichotawala cha miezi 8; je,wananchi wameandaliwaje kisaikolojia ili waamue kujitoa muhanga bila kujali maisha yao?

Nilitegemea mazimio ya Chama juu ya utendaji wa Serikali ya awamu ya tano yangepelekwa kwenye vikao vya chama ngazi zote mpaka ngazi ya tawi au shina. Wale kule chini waanze kutafakari na kukutana na wanachama wao wajadili kwa upana yale wasiyokubaliana nayo kwenye utendaji wa Magufuli. Kila mwanachama ajue kipi Magufuli anakosea na kipi anafanya vizuri.
Wananchi wakijua kwa kina matatizo yao yanahisiana vipi na kuminywa kwa demokrasia ndipo watakapoandamana bila woga.
Kwa sasa sioni sababu ya kufanya maandano wakati wananchi hawana sababu inayowagusa wao zaidi ya wanasiasa wenyewe.
 
Hata Saddam na Gaddafi walikuwa na kauli kama hizo za kibabe mwisho wake umeuona. Wazungu wanakuachia kama hujaingia kwenye zone zao lakini Tanzania inaingia huko. Nitakuja na uzi mwengine unaongelea Tanzania na mafuta na gesi hapo utanifamu vyema.
ww ujuaji umekuzidi napia u look like ur not a Tanzanian
for us we don't need people like u. Jana nilifanikiwa kosoma baadhi ya post za lisu pia msigwa zimejaa kejeli na upotoshaji mkubwa
na lisu pamoja na uropokaji wake anafikiri he is a good lawyer while he forget our government has many good lawyer hata waalimu wake
tunajua wapinzani wanataka dola lakini wasiwe waroho wa utawala kiasi cha kuingiza nchi yetu ktk machafuko
 
ww ujuaji umekuzidi napia u look like ur not a Tanzanian
for us we don't need people like u. Jana nilifanikiwa kosoma baadhi ya post za lisu pia msigwa zimejaa kejeli na upotoshaji mkubwa
na lisu pamoja na uropokaji wake anafikiri he is a good lawyer while he forget our government has many good lawyer hata waalimu wake
tunajua wapinzani wanataka dola lakini wasiwe waroho wa utawala kiasi cha kuingiza nchi yetu ktk machafuko
Uzuri wa mwanasheria ni upi? Nikunyamaza wakati haki haitendeki?
 
Mwenye macho haambiwi tizama ila huangalia mwenyewe na kuona kinacho tokea. Operesheni UKUTA imeratibiwa maalumu kwa kumuweka Magufuli kwenye mtego wa kwenda ICC na wananchi kumchukia kwa mkono uliojaa damu za ndugu zao. Ikiwa hakuna sheria inayozuwia mikutano ya siasa kufanya mikutano isipokuwa kauli ya raisi na polisi tu. Leo ikitokea kufanyika mikutano na polisi kuuwa wananchi wasio na hatia Vyama vya Upinzani na kufungua kesi Mahakama ya Afrika Mashariki na ICC serikali itajitetea kwa kutumia kipengele kipi cha katiba na sheria?

Naikubali hii nadharia!

Hakuna cha ukuta. Ziara za rais huwa zinapangwa mapema.
 
Watakao kufa ICC itawarudishia uhai. Kafanye kazi siasa zisizo na mashiko zimepitwa na wakati.
We unakazi ww kila saa unashinda jf afu unadai watu wakafanye kazi acha upumbavu ndo nyie tunapigaga vingwenzi
Kachukue buku 2 uko wacha watuue kama wameamua we yanakuuma nini
 
Mwenye macho haambiwi tizama ila huangalia mwenyewe na kuona kinacho tokea. Operesheni UKUTA imeratibiwa maalumu kwa kumuweka Magufuli kwenye mtego wa kwenda ICC na wananchi kumchukia kwa mkono uliojaa damu za ndugu zao. Ikiwa hakuna sheria inayozuwia mikutano ya siasa kufanya mikutano isipokuwa kauli ya raisi na polisi tu. Leo ikitokea kufanyika mikutano na polisi kuuwa wananchi wasio na hatia Vyama vya Upinzani na kufungua kesi Mahakama ya Afrika Mashariki na ICC serikali itajitetea kwa kutumia kipengele kipi cha katiba na sheria?
Apelekwe tu maana hatuna namna nyingine
 
Back
Top Bottom