Ooooops!! WANAWAKE??...aaaaah!

Pole sana mia mia.
Ila naona ushajenga mtazamo mbaya sasa juu ya wanawake (tittle ya thread inajieleza).
Inaelekea kipenzi chako alikuwa ni mtu wa kukaa na mambo rohoni hata kama yanamkera na ndio maana hata sababu ya kuachana hajakwambia.
Inawezekana pia unajua sababu ila hujataka kuiweka wazi.
Unapoachwa haimaanishi ndio mwisho wako wa kuwa katika mahusiano, haimaanisha aliyekuacha ni mbora kuliko wanawake wote waliobakia, haimaanishi ulikuwa katika mahusiano yasiyo sahihi bali inamaanisha kuwa una nafasi nyingine ya kucreate uhusiano mpya wenye nguvu zaidi ya uliopita.
Hutakiwi kuanzisha uhusiano mpya mapema, inawezekana ukaangukia kwenye midomo ya mamba.
Jipe muda wa kuwa mwenyewe kwanza.
Kujipa muda haimaanishi usiinteract na wasichana. Jichanganye nao ili uwafahamu zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo huwa tunapenda ila mnashindwa kuvitambua. Ukijimix nasi utatuelewa zaidi.
 
husininyo nimekuzingatia mzazi...u gud man.
b bleced mazee.
 
Du pole mjamaa ww fanya km umeteremshwa kwenye daladala, sahau na nauli panda ingine MUNGU atakusaidia utamsahau'
Vyuo vya hapa mjini Dom wengine wanakunywa sumu, akinusurika anaambiwa kwanza mwenzako ana ngoma umenusurika.
Jitahidi utasahau ndani ya siku tu ww bana hapa JF watakupoza.
 
Pole sana mia mia.
Ila naona ushajenga mtazamo mbaya sasa juu ya wanawake (tittle ya thread inajieleza).
Inaelekea kipenzi chako alikuwa ni mtu wa kukaa na mambo rohoni hata kama yanamkera na ndio maana hata sababu ya kuachana hajakwambia.
Inawezekana pia unajua sababu ila hujataka kuiweka wazi.
Unapoachwa haimaanishi ndio mwisho wako wa kuwa katika mahusiano, haimaanisha aliyekuacha ni mbora kuliko wanawake wote waliobakia, haimaanishi ulikuwa katika mahusiano yasiyo sahihi bali inamaanisha kuwa una nafasi nyingine ya kucreate uhusiano mpya wenye nguvu zaidi ya uliopita.
Hutakiwi kuanzisha uhusiano mpya mapema, inawezekana ukaangukia kwenye midomo ya mamba.
Jipe muda wa kuwa mwenyewe kwanza.
Kujipa muda haimaanishi usiinteract na wasichana. Jichanganye nao ili uwafahamu zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo huwa tunapenda ila mnashindwa kuvitambua. Ukijimix nasi utatuelewa zaidi.

A very good advice sina cha kuongeza hapo...
 
Pole kilicho chamsingi nikujishughulisha nakazi ulizokuwa huzipendi au hukuwa unazifikiria matharani kwenda gym,na kwa sasa husitafute mwanamke kwa lengo la kuziba pengo lililoachwa na mpenzi wako!!unaweza kuingia choo cha kike na kama kuna uwezekano tafuta shule au kozi yoyote yakukukeep busy hii itakufanya mawazo yake kichwani mwako yatoke haraka!!Ila najua inauma sana na kupa pole kwa yote wanawake sindugu zetu wao ni vifaa vya kutusaidia wakituchoka huwa hawajali nikiasi gani unampenda yeye anaenda kutumikia kwingine!!!
 
pole sana kaka hayo ndio mapenzi ya kibogo chamsingi ulianza mapenzi ukiwa unampenda kumbe yeye hakuwa na penzi la kweli kwako sasa wewe jipange na tafuta yule atakae kupenda kwa dhati swali UTAJUEJE KAMA HUYO MPYA ATAKUPENDA KWA DHATI? TUPA KARATA KAKA N A KUMBUKA HAYA NDIO MAISHA NA KAMA UNATAFUTA WAKUISHI NAE USITAZAME SURA.:A S 20:
 
paka paka mzee kivipi ndugu yangu?
nazan lengo langu ni juu ya mpenzi wangu kugeuza njia gafla tu ktk safari ya mapenzi nami...sijui niweke katika lugha ya namna gani lakini inaniumiza sana io hali kwa sasa kiasi ya kwamba sielewi elewi wat to focus on kiac i can foget hii hali

Pole sana kaka, mambo kama haya hutokea tujifunze. Kimsingi mimi naona pia wewe ulikuwa na tatizo. Iweje ukae na mtu miaka mitatu na mmoja mnaishi wote bila kufunga ndoa? What if yangetokea matatizo makubwa kwa huyo dada ungewaambia nini wazazi wake? Kama ulimpenda kweli kwa nini hukumuoa? Pole once again
 

Wanajamvi heshima na iwe nanyi nyooote...!!

Wanawake mh!! mapenzi yananisumbua sana naitaji muongozo,muongozo kuhimili hali halisi ninayo ipitia,yalikua mapenzi haswaa baina yetu-istoria ni ndefu sana tulikotoka na mpenzi wangu.
Lakini kwa ufupi mapenzi yetu yamedumu zaidi ya miaka 3 sasa,uku mwaka mmoja na miezi kadha wa kazaa tukiwa tunaishi chini ya rufu moja,toka nitoke,atoke nitoke!!
Nilimzoea sana,zaidi ya wayao yote nampenda sana naisi siwezi simama peke yangu uko mbele ya safari...
NIMEACHWA pasipo kuambiwa sababu...
NASUBILI KUAMKA TOKA NDOTONI LAKINI NAKUA NAJIDANGANYA KWANI NAIPITIA HALI ALISI NA WALA SIYO NDOTO...
NAOMBA NASAHAA ZENU NDUGU ZANGU TAJIMUDU VIPI KWA KIPINDI HIKI.

Title ya thread inaonesha kuwa unawalaumu wanawake wote, inawezekana wewe pia umechangia kuondoka kwake!
 
Tuliza kichwa chako ueleze kinachokusibu...
Ni kama unaongea mizaha mizaha vile

sasa we pakajimmy unataka aeleze vipi zaidi ya hap! keshasema wazi ameachwa na sababu ya kuachwa hakpewa.
kama huna ushauri mpe hata pole bwana!!
 
TIME
Time is the Best Healer.., Baada ya muda utasahau...
Jitahidi kwanini uangaike na kuumia kwa mtu ambaye hana shida na wewe na ameendela na maisha yake?
Keep yourself busy and occupied.., usiache akili yako iwe idle sababu mawazo yatarudi na utakuwa unaumia..
As a fisherman will tell you, there are plenty of fish in the ocean

Hiyo hapo juu nimeipenda...
Kijana tulia.... muombe Mungu atakuletea mwenza mzuri kabisa........ Kwa muda mfupi dawa hii yaweza saidia... Nenda mahali utakapokutana na wadada warembo...walioumbika...na kujiweka sawa... Wewe waangalie tu harafu linganisha na huyo uliyekuwa naye... Lakini kuangalia sio lazima upende... Nia yako ni kufanya roho iwe na nafasi ya kuamini kuwa utampata mrembo zaidi...

 

Wanajamvi heshima na iwe nanyi nyooote...!!

Wanawake mh!! mapenzi yananisumbua sana naitaji muongozo,muongozo kuhimili hali halisi ninayo ipitia,yalikua mapenzi haswaa baina yetu-istoria ni ndefu sana tulikotoka na mpenzi wangu.
Lakini kwa ufupi mapenzi yetu yamedumu zaidi ya miaka 3 sasa,uku mwaka mmoja na miezi kadha wa kazaa tukiwa tunaishi chini ya rufu moja,toka nitoke,atoke nitoke!!
Nilimzoea sana,zaidi ya wayao yote nampenda sana naisi siwezi simama peke yangu uko mbele ya safari...
NIMEACHWA pasipo kuambiwa sababu...
NASUBILI KUAMKA TOKA NDOTONI LAKINI NAKUA NAJIDANGANYA KWANI NAIPITIA HALI ALISI NA WALA SIYO NDOTO...
NAOMBA NASAHAA ZENU NDUGU ZANGU TAJIMUDU VIPI KWA KIPINDI HIKI.





Just for future use I`ll advise you to love no body and fear everybody and you`ll live better.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom