Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Pole sana mia mia.
Ila naona ushajenga mtazamo mbaya sasa juu ya wanawake (tittle ya thread inajieleza).
Inaelekea kipenzi chako alikuwa ni mtu wa kukaa na mambo rohoni hata kama yanamkera na ndio maana hata sababu ya kuachana hajakwambia.
Inawezekana pia unajua sababu ila hujataka kuiweka wazi.
Unapoachwa haimaanishi ndio mwisho wako wa kuwa katika mahusiano, haimaanisha aliyekuacha ni mbora kuliko wanawake wote waliobakia, haimaanishi ulikuwa katika mahusiano yasiyo sahihi bali inamaanisha kuwa una nafasi nyingine ya kucreate uhusiano mpya wenye nguvu zaidi ya uliopita.
Hutakiwi kuanzisha uhusiano mpya mapema, inawezekana ukaangukia kwenye midomo ya mamba.
Jipe muda wa kuwa mwenyewe kwanza.
Kujipa muda haimaanishi usiinteract na wasichana. Jichanganye nao ili uwafahamu zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo huwa tunapenda ila mnashindwa kuvitambua. Ukijimix nasi utatuelewa zaidi.
Ila naona ushajenga mtazamo mbaya sasa juu ya wanawake (tittle ya thread inajieleza).
Inaelekea kipenzi chako alikuwa ni mtu wa kukaa na mambo rohoni hata kama yanamkera na ndio maana hata sababu ya kuachana hajakwambia.
Inawezekana pia unajua sababu ila hujataka kuiweka wazi.
Unapoachwa haimaanishi ndio mwisho wako wa kuwa katika mahusiano, haimaanisha aliyekuacha ni mbora kuliko wanawake wote waliobakia, haimaanishi ulikuwa katika mahusiano yasiyo sahihi bali inamaanisha kuwa una nafasi nyingine ya kucreate uhusiano mpya wenye nguvu zaidi ya uliopita.
Hutakiwi kuanzisha uhusiano mpya mapema, inawezekana ukaangukia kwenye midomo ya mamba.
Jipe muda wa kuwa mwenyewe kwanza.
Kujipa muda haimaanishi usiinteract na wasichana. Jichanganye nao ili uwafahamu zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo huwa tunapenda ila mnashindwa kuvitambua. Ukijimix nasi utatuelewa zaidi.