Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Kwani Dark City ameoa?
yeah. Mkulu mwenzangu uyo.Usijali utampata afaaye tu GS.
Kwani Dark City ameoa?
yeah. Mkulu mwenzangu uyo.Usijali utampata afaaye tu GS.
jamani wanaume hawa!
hahahaaa wako alikuwa anakutest!!!!!!!! hongera lakini mlimudu kuvuka salama. sasa unaona?????????? , kama ungekuwa unampokea na kuuliza kachelewa wapi, angeamini kuwa unamjali lakin ungempokea na matusi na kashfa, angekudunda lazima. hekima inalipa sana wapendwa............
Hii ndio dunia tunayoishi Remmy wanaume wanasema tujue jinsi ya kuwa-approach
Mh mie kuna siku nilijibiwaga vya kujibiwa nikabakia domo wazi-toka siku hiyo niliamua kuwa kimya akija asubuhi sawa, akija kumi na mbili jioni sawa tu hakuona rangi ya jino langu tena.
Huu ni ushauri toka mdomoni mwa farasi mwenyewe.Big-up Mkulu,
Tuwape moyo wadogo zetu na tusiwatishe au kuwakatisha tamaa. Ingawa ukweli uko pale pale kwamba mambo siyo mtelemko. Lazima kukomaa na kuweka mambo kadri ya ndoto zako. Shida kubwa ni kwamba baadhi ya washikaji hawakuwa na ndoto. Wao walitamani kuona siku moja wako ndani au wameweka kitu ndani. Huo ndio mchezo wa kununua majuto. Tuendelee kuwasaidia ingawa nasi tunahitaji msaada na pia kukumbushwa tulikotoka. Ukiniambia nianze kutafuta mchumba leo ni afadhali nichapwe hata viboko 40! Ni kazi kweeli. Lakini kila kitu kinaisha ili kingine kianzie hapo! G will come and tell us soon.
Hapana hii ilikuwa ni kabla ya kulivua maana nilishindwa mie.Kwa hiyo unasema ume-concede? Hiyo pia ni hatari.
Ndo maana siku ile ulikuja na topic ya Angaza? You still need to do something. Being passive or hyper-active doesn't help!
Part two ya hii habari.....
Nimejaribu kuongea na huyu mwanamama kasema anaenda Police kutoa report kwani amekuwa akipata kipigo cha mala kwa mala bila huruma
Ni kweli wengi mmeniuliza kama najua ugomvi wao ni wa mala kwa mala au lah mie nimewahi kushuhudia ugomvi siku moja mama alikuwa mjamzito mimba miezi 7 lakini alipata kipigo kisa ameenda kanisani amechelewa kurudi home ilikuwa mida ya saa nane mchana jamaa kamshikia na kisu ..ilibidi dada atimue mbio na tumbo lake
Pia kwa mie ninavyomfahamu huyu jamaa ni mtu ambaye anapenda sana totoz wife kamvumilia kwa matumaini labda iko siku atabadirika
Hitimisho..Mwanamama kaniomba nimsindikize Angaza akaangalie kama yuko Fresh ili afate hatua zingine anazojua mwenyewe
Ni hatua gani hizo? kasema atatoa majibu pale atakapojua matokeo yake yako vip
Ila sijui kama ni hasira au ameamua kutoka moyoni mwake kufanya hivi
bado nitaendelea kuongea nae
Part two ya hii habari.....
siku moja mama alikuwa mjamzito mimba miezi 7 lakini alipata kipigo kisa ameenda kanisani amechelewa kurudi home ilikuwa mida ya saa nane mchana jamaa kamshikia na kisu ..ilibidi dada atimue mbio na tumbo lake
Pia kwa mie ninavyomfahamu huyu jamaa ni mtu ambaye anapenda sana totoz wife kamvumilia kwa matumaini labda iko siku atabadirika
Inasikitisha sana kwa huyo mama na watoto kupigwa na kukurupushwa nyumbani usiku huo na mtu ambaye ni mume na baba wa hao watoto.
FL1
Najaribu kujiuliza huyu jamaa alikuwa amelewa? yaani hii ni kawaida yake au first time?
Tumesikia upande wa huyu mama kwa alivyokuaeleza/ulivyotuambia je una labda habari ya upande wa pili kwa huyu bwana?
Ni hatari sana, lakini kwa wote wanao ogopa kuolewa kwa ajili ya mambo kama haya , naomba tusikate tamaa, kama wengine walivyosema , tuchunguze hao waume watarajiwa kabla ya kukubali kufunga ndoa. Hii inasaidia kujua tabia zao kabla hawajatugeukia.
Wa salaam.
[/FONT]
Wanasema ukishamruhusu mwanaume kukupiga mara ya kwanza ukamchekea, he will always do that. Sasa huyo mwenye guts za kumpiga mama mjamzito tena miezi 7 lazima atakuwa alishapiga sana tu.
Thanx mpendwa leo nikifika itabidi nikamsikilize na huyu mme wa huyu madame anipe chanzo ni nini hasa cha kupelekea kutimua hata watoto..
nikijaribu kuangalia mida hiyo watoto walikuwa wamelala ina maana aliwaamsha ashindwe na alegee
sasa kama mambo yenyewe ndo haya mie si bora niingie chama cha kina Kiranga basi mama ushauri!! unanitisha ujue!!! (ila mi ntafuata nyendo zako....u knw wat i mean hahaaaaaaaaaaa)
i cant wait to see you yaani dah!!
Kiranga wewe ni Bruda!!!??
mie ctaki utishike, lakini hapo hapo ucweke kifua mbele sana, kuna raha/karaha zake humo,nasubiri mualiko tu haya ya humu yaachie humu humu mami, sawa dearest?
Amina, FirstLady1, sote kwa pamoja na wewe pia barikiwathanks Anyisile ubarikiwe na bwana ..ushauri wako mzuri na wa kiroho zaidi
if this is true...then he must be so lucky...Mie kama mwanamke kwanini machozi yasinitoke .nimezaa na ,nimeumia sana juu ya hili labda inaweza kutokea kwangu pia.