Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
thanks AK kuna kipindi nilijaribu kuwa mkimya zaidi nikaambiwa kiburi
nikajaribu kuongea nikaambiwa mjuaji
ila thatha najitahidi kuwa vere nyuturo
inaonekana bado hujamuelewa vizui, mi nashauri uendelee tu kumsoma bila kuchoka hadi utakapomuelewa vizuri. hata kuwa neutral anawezakusema una dharau!!!!!!!
ila kumbuka always usiondoke kwenye nafasi yako kama mke.......... ni mihumu sana kubaki mke naturally throughout