Salaam,
Napenda kutoa ushauri kwa uongozi wa juu wa Chadema kuanzisha Online membership registration, nina uhakika CHADEMA itapata wanachama wengi zaidi kuliko kufuata huu mfumo wa kiasili tuliozoea (Traditional system) ambayo lazima uende physically kwenye ofisi ya tawi then uandikishe kwenye daftari kabla ya kupata hard-copy membership card.
Mi naongelea softcopy membership registration card ambayo naweza kulipia online pia kwa kutumia system zilizowekwa sasa hivi kama M-Pesa or Tigo Pesa. kwa hiyo wale watakao design sytem hii basi wa link na Voda / Tigo Pesa.
Pesa hizi zinaweza kusaidia chama hasa kipindi hiki ambacho chama kinaenda kuwafikia wenzetu wa vijijini. Mwisho naupongeza uongozi mzima wa CHADEMA kukifikisha chama hapa kilipo kwani tayari kinaaminiwa sana na wananchi, Hongera Mwenyekiti, hongera za pekee ziende kwa DR. Slaa mpiganaji numberi one. tupo pamoja kamanda wetu na crew nzima ya wapiganaji - Lissu, Myika, Zitto, Lema, Mdee na wengineo.
Hoja ya msingi ni kwamba watanzania wengi hasa wa mijini ni wavivu sana kwenda kutafuta ni wapi wanapata kadi ukizingatia muda, foleni za barabarani na najukumu waliyonayo. kwa mfano nikiwa hapa kwenye laptop yangu basi naweza kufanya registration na kulipia kadi yangu kwa urahisi sana - pia baada ya hapo naweza kuwa napata updates za chama online kama mwanachama hai wa chama changu.
Napenda kutoa ushauri kwa uongozi wa juu wa Chadema kuanzisha Online membership registration, nina uhakika CHADEMA itapata wanachama wengi zaidi kuliko kufuata huu mfumo wa kiasili tuliozoea (Traditional system) ambayo lazima uende physically kwenye ofisi ya tawi then uandikishe kwenye daftari kabla ya kupata hard-copy membership card.
Mi naongelea softcopy membership registration card ambayo naweza kulipia online pia kwa kutumia system zilizowekwa sasa hivi kama M-Pesa or Tigo Pesa. kwa hiyo wale watakao design sytem hii basi wa link na Voda / Tigo Pesa.
Pesa hizi zinaweza kusaidia chama hasa kipindi hiki ambacho chama kinaenda kuwafikia wenzetu wa vijijini. Mwisho naupongeza uongozi mzima wa CHADEMA kukifikisha chama hapa kilipo kwani tayari kinaaminiwa sana na wananchi, Hongera Mwenyekiti, hongera za pekee ziende kwa DR. Slaa mpiganaji numberi one. tupo pamoja kamanda wetu na crew nzima ya wapiganaji - Lissu, Myika, Zitto, Lema, Mdee na wengineo.
Hoja ya msingi ni kwamba watanzania wengi hasa wa mijini ni wavivu sana kwenda kutafuta ni wapi wanapata kadi ukizingatia muda, foleni za barabarani na najukumu waliyonayo. kwa mfano nikiwa hapa kwenye laptop yangu basi naweza kufanya registration na kulipia kadi yangu kwa urahisi sana - pia baada ya hapo naweza kuwa napata updates za chama online kama mwanachama hai wa chama changu.