Online membership registration CHADEMA

technology inabadilika mkuu, hata kama utakataa njia hii leo lakini utaikuta mbele ya safari, kuna vitu kama e-commerce havikwepeki, techonogy is moving very fast, kuna siku utafanya shopping ukiwa nyumbani kwako, unalipa online na vitu vinaletwa baada ya muda. kuna siku hutatumia cash kufanya transaction yoyote hili limeanza na linakuja kwa kasi ya ajabu.

e-commerce, is a type of industry where buying and selling of product or service is conducted over electronic systems such as the Internet and other computer networks
Kwa mtu anayeweza kufanya e banking, e tax na e drinking na e love na e transport, kweli hawezi kukata kadi ya CDM. Yupo Tanzania? Hii itakuja baada ya 2015. Kwa haya Ma CCM hayo yalishashindikana. Angalia ATM zinavyokomoliwa. Yaani unategemea uwalipe CCM wakuletee bidhaa nyumbani? Duhhh. Hiyyo ni baada ya 2015.
 
Labda tena niweke sawa kuwa unapo register online, lazima unajaza details zako, hii ni pamoja na genuine ID yako ambayo System itaitambua ili kumalizia registration.

Kwa mfano: ukisha jaza makazi yako, let say "SINZA C" pale pale system itakupa details za tawi lako lilipo, viongozi wako nk. na baada tu ya malipo ambayo ndiyo itakuwa section ya mwisho basi update itatumwa moja kwa moja kwenye tawi lako kuonyesha wewe ni active member, registration itakamilika baada tu ya kulipia membership yako.

Its a bit advanced lakini hii ni njia rahisi sana ya ukusanyaji michango kwa watu wa mijini, kupata updates za vikao vya chama kwenye tawi husika via emails or sms.

Both Online and Tradition methods can run parallel - in doing so you can reconcile the two and have a single database showing all active member countrywide, for planning and other statistical activities….



we mkare, 2po pamoja mkuu.
 
Kwa mtu anayeweza kufanya e banking, e tax na e drinking na e love na e transport, kweli hawezi kukata kadi ya CDM. Yupo Tanzania? Hii itakuja baada ya 2015. Kwa haya Ma CCM hayo yalishashindikana. Angalia ATM zinavyokomoliwa. Yaani unategemea uwalipe CCM wakuletee bidhaa nyumbani? Duhhh. Hiyyo ni baada ya 2015.
namna mkuu kweli wewe ni mkomunist.... naona unavyoyachukia ma-ccm (the way you call)

Usijali online Registration itatuletea mapato kumbuka tunahitaji fedha kuwafikia wenzetu wa vijijini na njia pekee ni hiyo. Tanzania ni kubwa mno, kunahitajika pesa nyingi na muda unakimbia sana.
 
Ungekuwa umewahi kujaribu ku register katika mfumo huu huu wa kwenda kiguu na njia ofisi za CHADEMA ukaona ilivyo hustle kuregister uanachama ndio ungejua kwamba kwa teknologia ndio hawawezi kabisaaaaaa...

Usifikirie mfumo huu utaandaliwa na Mnyika/Mbowe/Slaa in person. Ni kwamba anatafutwa consultant kama ilivyo kwenye website designing anadesign hiyo registration form na kuiweka kwenye website yetu ya chama. Tukifungua website ya chama tunaikuta hapo tunaclick tunatupiamo personal particulars na kusend baada ya may be kupata text na identification number kuwa hela uliyoituma kama malipo ya uanachama imeshawafikia. Au ukishajisajiri kama hutotuma pesa ndani ya muda flan lets say a week uanachama wako utasitishwa. Ndivyo wenzetu wanavyotenda kazi.

Hii ni rahisi zaid kuliko traditional registration. Mbona humu JF tumejiregister online bila utata wowote???Utata utatokea vipi tunapotaka kujiregister kuwa mwanachadema??? Kama chama kingekuwa kinataka kutupima urefu na uzito kweli ningekubaliana na wazo lako la kuendelea na system iliyopo, ila kwakuwa chama kinahitaji kupata just personal details sioni ugumu wowote maana hela ya kufanya hayo tunayo nyingi tu. Na wakitaka tuwachangie kwa hili watujulishe pia, tutachangia kwa ukarimu tu.
 
Wewe mkuu, sikiliza: Chama hakijengwi makao makuu, kinachengwa chini, yaani matawini, kata Nk. Centra registration system kwa sasa itahitaji feeding kutoka matawini, kata NK. Tuku bize sana na register za matawi na kata. Huu uwanachama wa kukimbilia makao makuu unazaa akina Shonzeski wengi yaani magaidi wa kimasalia. Kwa sasa twande manual, ila baada 2015 tuangalie mfumo wa kucentralise hiyo registration. Hivi wewe kwa sasa unaipata website yetu?. tusije safiricom kama kenya.
 
Wewe mkuu, sikiliza: Chama hakijengwi makao makuu, kinachengwa chini, yaani matawini, kata Nk. Centra registration system kwa sasa itahitaji feeding kutoka matawini, kata NK. Tuku bize sana na register za matawi na kata. Huu uwanachama wa kukimbilia makao makuu unazaa akina Shonzeski wengi yaani magaidi wa kimasalia. Kwa sasa twande manual, ila baada 2015 tuangalie mfumo wa kucentralise hiyo registration. Hivi wewe kwa sasa unaipata website yetu?. tusije safiricom kama kenya.
What i mean here ni kwamba uwepo wa efficient online registration system hauhitaji mfadhiri wala kabaila kuja kutusaidia, ni kuliweka tu hilo suala kwenye budget na kumuelekeza mtaalami nini tunataka kiwe kwenye website yetu. naimani tukitaka hilo hata kwenye hayo marekebisho ya website yanayofanyika, linaweze likawa accomodated.

Aidha, uwepo wa mfumo huu wa kuapply online, hautegemewi ku-repeal traditional system. Mfumo wa kijadi utaendelea kuwepo na huu wa kisasa utakuwepo ili kutoa fursa kwa wenye access na online application waapply huko walipo na wale walio mbali na fursa za kielecktronic waendelea kuzitumia ofisi zetu popote zilipo. Pia usisahau Matawi na Kata nyingine zinahusisha maeneo yaliyo katikati ya majiji/mijini, hivyo unapoongea neno Tawini/kwenye Kata usiwe na picha kuwa sifa ya Tawi au Kata ni kuwa Kijijini.
 
mimi nilimchangia sana Obama and i still contribute to wikipedia through the same method
 
Ah! Ngoja kwanza hili la UGAIDI tuone limeishaje.



Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2
 
Wewe mkuu, sikiliza: Chama hakijengwi makao makuu, kinachengwa chini, yaani matawini, kata Nk. Centra registration system kwa sasa itahitaji feeding kutoka matawini, kata NK. Tuku bize sana na register za matawi na kata. Huu uwanachama wa kukimbilia makao makuu unazaa akina Shonzeski wengi yaani magaidi wa kimasalia. Kwa sasa twande manual, ila baada 2015 tuangalie mfumo wa kucentralise hiyo registration. Hivi wewe kwa sasa unaipata website yetu?. tusije safiricom kama kenya.
mkuu hapa tumekupata, kwa kuongezea tu alichosema patriote ni kwamba kila system (mfumo) lazima uwe na maadui wake; kwa hiyo nafikiri wazo ni kukabiliana tu na mambo haya, kwamba huwezi kuogopa maadui kwenda kwenye system itakayo rahisisha operations zako; sababu hata hiyo manual system still masalia wanaweza kuingia tu na kuvuruga chama kama hakuna mikakati ya kuthibiti, cha msingi hapa kwenye implementation ya hii kitu basi vetting lazima ipewe kipaombele.

Kwa mfano mimi leo nimefanya online registration na tawil langu lipo ubungo, sasa tunaweza kusema member aliyesajiliwa online anaweza kuwa chini ya uangalizi wa tawi kwa kipindi let say miezi 3 hadi 6 ili tawi likijiridhisha then napanda daraja etc






 
Wazo lako FUSO liko kitechnology zaidi na mie nimelizimikia yaani liko poa sana...sasa kama mitandao mingi inaishobokea magamba hapo am afraid kidogo watachakachua tu hawa magamba....mitandao yetu yote haina uthubutu mkuu....
nafikiri sasa mambo yameiva!!
 
Asanteni sana CDM, naona sasa mambo yameiva !!
Yameiva lakini kwa lengo tofauti. Lengo la sasa ni kukusanya pesa baada ya kukosa ruzuku.! Lengo lako ulilowashauri miaka 10 iliyopita wakati wa JK lilikuwa jingine (main objective) na ndiyo maana lilitupiliwa mbali.
 
Huwa nafarijika mno wazo langu nililolitoa kuptia jukwaa hili mwezi July 2011 leo baada ya miaka 10 limetimia, ni faraja iliyoje moyoni mwangu FUSO.
Mungu awatie nguvu sana wana CDM wote nchi nzima pamoja na viongozi wenu.
 
Salaam,

Napenda kutoa ushauri kwa uongozi wa juu wa Chadema kuanzisha Online membership registration, nina uhakika CHADEMA itapata wanachama wengi zaidi kuliko kufuata huu mfumo wa kiasili tuliozoea (Traditional system) ambayo lazima uende physically kwenye ofisi ya tawi then uandikishe kwenye daftari kabla ya kupata hard-copy membership card.

Mi naongelea softcopy membership registration card ambayo naweza kulipia online pia kwa kutumia system zilizowekwa sasa hivi kama M-Pesa or Tigo Pesa. kwa hiyo wale watakao design sytem hii basi wa link na Voda / Tigo Pesa.

Pesa hizi zinaweza kusaidia chama hasa kipindi hiki ambacho chama kinaenda kuwafikia wenzetu wa vijijini. Mwisho naupongeza uongozi mzima wa CHADEMA kukifikisha chama hapa kilipo kwani tayari kinaaminiwa sana na wananchi, Hongera Mwenyekiti, hongera za pekee ziende kwa DR. Slaa mpiganaji numberi one. tupo pamoja kamanda wetu na crew nzima ya wapiganaji - Lissu, Myika, Zitto, Lema, Mdee na wengineo.

Hoja ya msingi ni kwamba watanzania wengi hasa wa mijini ni wavivu sana kwenda kutafuta ni wapi wanapata kadi ukizingatia muda, foleni za barabarani na najukumu waliyonayo. kwa mfano nikiwa hapa kwenye laptop yangu basi naweza kufanya registration na kulipia kadi yangu kwa urahisi sana - pia baada ya hapo naweza kuwa napata updates za chama online kama mwanachama hai wa chama changu.


Chadema haijawahi kupuuza ushauri makini
 
Salaam,

Napenda kutoa ushauri kwa uongozi wa juu wa Chadema kuanzisha Online membership registration, nina uhakika CHADEMA itapata wanachama wengi zaidi kuliko kufuata huu mfumo wa kiasili tuliozoea (Traditional system) ambayo lazima uende physically kwenye ofisi ya tawi then uandikishe kwenye daftari kabla ya kupata hard-copy membership card.

Mi naongelea softcopy membership registration card ambayo naweza kulipia online pia kwa kutumia system zilizowekwa sasa hivi kama M-Pesa or Tigo Pesa. kwa hiyo wale watakao design sytem hii basi wa link na Voda / Tigo Pesa.

Pesa hizi zinaweza kusaidia chama hasa kipindi hiki ambacho chama kinaenda kuwafikia wenzetu wa vijijini. Mwisho naupongeza uongozi mzima wa CHADEMA kukifikisha chama hapa kilipo kwani tayari kinaaminiwa sana na wananchi, Hongera Mwenyekiti, hongera za pekee ziende kwa DR. Slaa mpiganaji numberi one. tupo pamoja kamanda wetu na crew nzima ya wapiganaji - Lissu, Myika, Zitto, Lema, Mdee na wengineo.

Hoja ya msingi ni kwamba watanzania wengi hasa wa mijini ni wavivu sana kwenda kutafuta ni wapi wanapata kadi ukizingatia muda, foleni za barabarani na najukumu waliyonayo. kwa mfano nikiwa hapa kwenye laptop yangu basi naweza kufanya registration na kulipia kadi yangu kwa urahisi sana - pia baada ya hapo naweza kuwa napata updates za chama online kama mwanachama hai wa chama changu.
Good
 
Back
Top Bottom