Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
sasa yamekuwa ya mchina eeh!!
Mlipokuwa na shida mlijiliza hadi nkawaonea huruma
yaleteni tu ntayashona
basi naomba kope hata vinywele 12 kila jicho kwa ajili ya swaga tu, ntaongezea mascara
Mlipokuwa na shida mlijiliza hadi nkawaonea huruma
yaleteni tu ntayashona
basi naomba kope hata vinywele 12 kila jicho kwa ajili ya swaga tu, ntaongezea mascara
we makalio yako ya mchina mi yangu ya mzungu. Lol. Preta aliyachukua kabla hayajafika ila anasema kalio moja limetoboka.