Ongezeko la BODABODA kujichukulia sheria mikononi vyombo vya usalama hamlioni hili?
Iwe kwenye mataa, taa ya rangi ya RED imewashwa bodaboda unawaona wanapita
Iwe kwenye pundamilia magari mengine yamesimama watu wapite bodaboda unawaona wanapita unaogopa kuvuka barabara hata kama magari yamesimama kuhofia bodaboda anaweza pita
- Majibu mabovu na matusi bodaboda
- utekaji na unyang'anyi wa vitu bodaboda
- Kuchoresha mipango yako kwa vibaka wa mji bodaboda
- Ajali nyingi barabarani mara nyingi bodaboda ni chanzo anaingia katikati kujipenyeza
- Ajali ikitokea wao ndio wa kwanza kushambulia huu ujasiri wa hadi kuchoma Bus unatoka wapi? Mambo huwa yanaanza mdogo mdogo ipo siku watavamia msafara wa kiongozi na kuchoma ipo hii tabia haivumiliki tunaongoza taifa la namna gani ? Ni Bangi au madawa ya kulevya ? Ulevi au kitu gani?
Bodaboda popote walipo wanazidi wafahamike wapimwe utimamu wa akili wapewe mafunzo ya usalama barabaranj wanaokizi vigezo waruhusiwe..
Askari na vyombo vingine vya usafiri mambo haya mmeyabariki?.. haya sio ya kupuuzwa.
Iwe kwenye mataa, taa ya rangi ya RED imewashwa bodaboda unawaona wanapita
Iwe kwenye pundamilia magari mengine yamesimama watu wapite bodaboda unawaona wanapita unaogopa kuvuka barabara hata kama magari yamesimama kuhofia bodaboda anaweza pita
- Majibu mabovu na matusi bodaboda
- utekaji na unyang'anyi wa vitu bodaboda
- Kuchoresha mipango yako kwa vibaka wa mji bodaboda
- Ajali nyingi barabarani mara nyingi bodaboda ni chanzo anaingia katikati kujipenyeza
- Ajali ikitokea wao ndio wa kwanza kushambulia huu ujasiri wa hadi kuchoma Bus unatoka wapi? Mambo huwa yanaanza mdogo mdogo ipo siku watavamia msafara wa kiongozi na kuchoma ipo hii tabia haivumiliki tunaongoza taifa la namna gani ? Ni Bangi au madawa ya kulevya ? Ulevi au kitu gani?
Bodaboda popote walipo wanazidi wafahamike wapimwe utimamu wa akili wapewe mafunzo ya usalama barabaranj wanaokizi vigezo waruhusiwe..
Askari na vyombo vingine vya usafiri mambo haya mmeyabariki?.. haya sio ya kupuuzwa.