Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
ilikuwaje?
Ilikuwa tofauti, tofauti sana.
Vijana mnataka wenza kila mahali, hata chooni. Kuweni waoga kidogo, mnaweza kuacha kutamani hovyo hovyo.
1 nite stand inaweza kuwa lisence to unknown!
ilikuwaje?
Ilikuwa tofauti, tofauti sana.
Vitana mnataka wenza kila mahali, hata chooni. Kuweni waoga kidogo, mnaweza kuacha kutamani hovyo hovyo.
1 nite stand inaweza kuwa lisence to unknown!
<br />Anamaanisha nn?
Uki date na mtu unawezaje tena kuwa free kucomment? kuna thread ziko so embarasd kama mko wote mnachangia inakuwa tabu kidogo
hahahah BUJIBUJI bwana mie unanifurahisha na mada zako...i guess mkitokea kufanya hivyo,then mtakuwa mnaoneana haya fulani hivi....hautakuwa huru tena kujiexpress ukijua mwenzio anakusoma michango yako hii inapelekea mie kujiuliza kuna wanandoa humu wanaojuana id zao?:biggrin1:
<br /><font face="Book Antiqua"><font size="4">Hahahahah lol! Kama mmenogewa! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /> si ajabu mkatangaza hata harusi <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /><br />
</font></font>
Mlio experience hii kitu hebu mtujuze, baada ya kupiga tukio hali ikoje?
PM na vikwerombwezo vinaewndelea?
<br />
<br />
Harusi = Ndoa
Mkuu, hahahaaa!Ina maana jukwaa mahusiano mapenzi na urafiki halikuwepo enzi hizo? Au kama lilikuwepo mlikuwa mnajadili issue gani? Tujuze mkuu.
Ooooh so one nite stand inataka kuwa two nt stand, kuna watu hawatestiwi jamani utanasa tuI can understand your curiosity... ni kua walikutana na kukutana JF, but one nite stand wakikutana kitaa wakatamaniana na kuridhishana then aftermath ikawa issue, nilitolea mfano coz niliambia na muhusika,, hivyo nilikua nakutoa doubts kua kweli wapo. Bahati mbaya hawa iliwatokea hivi ila naamini wapo ambao walifurahia ndo mpaka they are thinking of doing it again, mana haiwezekani zote zikawa failure...
Walidate wapi... ilikua one horrible experience ya one nite stand... en ways tuache tu... I believe you are well and good Gaga.
Mume na mke?????? sidhaniI am sure tokea JF ianze lazima kuna watu walishawahi kukutana hapa na wakaishia kuwa mume na mke.
Mkuu! Hivi pale tiptop panafaa ukiwa nyagi ya sita? Ndogo ofcoz.dah mkuu BjBJ, nilikuwa na date na Member mmoja humu na ishu ilikuwa fresh kabisa kazi ilikuwa kwangu tu mzee, lakini katika kuja kucheki huyo shori alikuwa amenipiga gap ya miaka kama 6, mpango mzinma ukawa umeishia kaburini, nimechangia thread kwa kua imenifanya nifurahi ingawa nimetoka nje
dah mkuu BjBJ, nilikuwa na date na Member mmoja humu na ishu ilikuwa fresh kabisa kazi ilikuwa kwangu tu mzee, lakini katika kuja kucheki huyo shori alikuwa amenipiga gap ya miaka kama 6, mpango mzinma ukawa umeishia kaburini, nimechangia thread kwa kua imenifanya nifurahi ingawa nimetoka nje
Mume na mke?????? sidhani
Ooooh so one nite stand inataka kuwa two nt stand, kuna watu hawatestiwi jamani utanasa tu
I guess it was all good!
Hizi one nite stand,
siku moja mwaweza kutana na majini mahaba vijana!!!!!!!!!!!