Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Mlio experience hii kitu hebu mtujuze, baada ya kupiga tukio hali ikoje?
PM na vikwerombwezo vinaewndelea?
PM na vikwerombwezo vinaewndelea?
vinaendelea kama kila mmoja karidhika na mwenzie! Buji leo vipi mkuu?jana umelalaje maana hizi thread c mchezo
alikuwa na hiyo stand akitaraji itakuwa one nite ila sasa anatafakuri atajitoaje manake inogile:biggrin1:
Umeamkia wapi leo
Ubungo Stand, ha ha..ndiyo mana one nite stand imemkaa)
ha ha ha he he kweli Bujibuji nilikuwa sitaki kucheka lakini nimejikuta naangua mbavu...te te te ...
We bado?Hivi kumbe wapo?
One Year StandOne night stand, 2 nights stand, 3 nights stand, 4 night stand, 5 months stand =?
Mlio experience hii kitu hebu mtujuze, baada ya kupiga tukio hali ikoje?
PM na vikwerombwezo vinaewndelea?
Unaingia na ID mpya:biggrin1::biggrin1:BjBj experience naamini hua tofauti hivyo na outcome tofauti... kama it was a great one nite stand i guarantee hizo PM ndo kabisaaa... ikiwa tofauti unakwepa hata kuchangi post ambayo kapita mwenzio....lol