Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,351
- 16,578
Mbunge wa simanjiro kupitia chama cha ccm bwana ole sendeka ametahadharisha baadhi ya watu wanaomwita mwl Nyerere kuwa ni dikteta kwamba serikari itaweka mkakati wa kuwafuatilia pia amehusisha na mitandao ya kijamii pia