Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Na huyo mkuu wa mkoa kununuliwa na Mafisadi kumrubuni Millya kwenda kituo kwa case fake,hii ni ajabu kwa kiongozi wa Serikali kujihusisha na siasa wanasahau kuwa wanawahudumia wananchi wote wao bdo wanakuwa wabunge ndani ya mkoa wanaoongoza.