Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Huku ndiko kusafishwa kwa mujibu wa sheria za nchi. Mtu anabuzuzwa mahakamani na haki inahamua ukweli. Hongera sendeka kwa kutakaswa dhidi ya kowadi wa mafisadi. Na wale wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi kitu pekee kitakaowasafisha mbele ya jamii ni mahakama tu. Na wala sio propaganda katika majukwaa ya kisiasa au kilewanachokiita vikao vya ndani vya kichama. Kwanza kwa kuanzia hivyo vyama vinawakilisha sehemu ndogo sana ya wananchi na wala walio wengi hatuviamini.