ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Je makabidhiano ya ofisi yamefanyika?
ni mmoja kati ya wale waliokuwa wanabwabwaja jana. akabidhi nini wakati yeye mwenyekiti? hakuna rasilimali watu? hauna ofisa rasilimali fedha? hakuna?
Je makabidhiano ya ofisi yamefanyika?
Tatizo la CCM ni wasanii, walaghai na ni vigumu kuaminika. Kama kweli kijana huyu aliondoka na hizo fedha mahala sahihi ni kumshtaki mahakamani na si kwenye vyombo vya habari. Ukweli ni kwamba hizi ni propaganda za kuwa confuse CHADEMA na jaribio la kuiharibu political future ya kijana huyu. Tumewagundua, hatudanganyiki kamwe!!!!!!kwa mujibu wa Mrisho Gambo; Milya ameondoka na pesa hizo ambazo zilikuwa za kuanzisha saccos ya UVCCM. Amemtaadharisha Mbowe kuwa Millya ni tapeli.....
Sielewi ni kwa nini wamekaa na tapeli muda wote huo bila kumchukulia hatua ina maana CCM wanafuga matapeli?
source: ITV news
Mfa maji siku zote haishi kutapatapa,sasa anasemaje amekaa na hela zao miaka mitatukwa mujibu wa Mrisho Gambo; Milya ameondoka na pesa hizo ambazo zilikuwa za kuanzisha saccos ya UVCCM. Amemtaadharisha Mbowe kuwa Millya ni tapeli.....
Sielewi ni kwa nini wamekaa na tapeli muda wote huo bila kumchukulia hatua ina maana CCM wanafuga matapeli?
source: ITV news
Ondoka kwa amani Millya....hivyo vijisenti havina ishu Kama ni kweli lakini.
Amekuwa tapeli baada ya kuondoka UVCCM? Na UVCCM kama taasisi haina akaunti benki? Ni kwa nini basi fedha za taasisi akae nazo mtu binafsi? Acheni siasa chafu jamani. Haya mnayoyasema yatawarudi ninyi
Ok, kwenye zile trion 4 alizokula Pinda na genge lake tunalipa deni hilo, alafu na nyie (magamba) mtulipe fasta zinazosalia!!
Kesho naenda kulipa ilo deni palepale ofisini kwa niaba ya Millya!! Wajiandae kunionyesha nyaraka aliposaini wakati wa kuchukua uvo vujisenti!
:director::blah:Hapa umeniwahi Mkuu:A S thumbs_up:wao wanaongelea milioni mbili wakati mawaziri wametafuna trion 5 na hawataki kuwajibika